Ni mambo ya kusikitisha sana ukisikia Vijana wameajiriwa ili watumike kwenye mambo ya kihuni ili tu mabosi wao wapate raha.
Vijana hawa wemefikia kulewa mapenzi hasa baada ya kuhongwa simu macho matatu na kuanza kuwaita wazazi wao maandazi.
Hivi hamna familia mtokako kiasi mnajiuza wazi wazi kwa mabosi wenu?
Vijana hawa wemefikia kulewa mapenzi hasa baada ya kuhongwa simu macho matatu na kuanza kuwaita wazazi wao maandazi.
Hivi hamna familia mtokako kiasi mnajiuza wazi wazi kwa mabosi wenu?