Vijana mnaolalamika mapenzi mnazijua stress za mikopo ya biashara ?

Vijana mnaolalamika mapenzi mnazijua stress za mikopo ya biashara ?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Nyumba ya familia umeiweka bondi upewe mkopo lakini ukiangalia biashara upepo umebadilika yani hutoboi kwenye marejesho, hizo stress hata unywe pombe hazituliziki

Ndugu wanaona una pesa duka limenawiri bila kujali ni mkopo, Ni kama vile inaanzishwa ligi ya kukutupia matatizo yao halafu ukikataa unaonekana unajitenga, kichwa kinawaka moto brother

Hujamaliza marejesho, wafanyakazi wanaanza kudai mishahara yao, umewapiga kalenda miezi mitatu.

Simu baada ya lisaa ina ring, benki wanataka pesa zao, waweza zima simu siku nzima
 
Nyumba ya familia imewekwa bondi ukiangalia biashara unaona hutoboi kwenye marejesho, hizo stress hata unywe pombe hazituliziki

Ndugu wanaona una pesa duka limenawiri bila kujali ni mkopo, shida utaanza kuzisikia bibi tumpeleke india atibiwe, kichwa kinawaka moto

Hujamaliza marejesho, wafanyakazi wanaanza kudai mishahara yao, umewapiga kalenda miezi mitatu/
Kila mtu kuna sehemu anaumizwa kwa nafasi yake so wewe unaumizwa na mikopo lakini kuna wengine wanaumizwa na mapenzi
 
Afadhali wewe mkopo umefungua biashara.
Na uswahilini kuna wamama wanachukuwa mikopo ili wafanye shughuli au akamtunze shoga yake kabati.
Nawaoneaga huruma sana hawa wamama wanaokopa ili kuwazawadia wenzao kabati

Marejesho yakiwabana wapo tayari kujiuza mpaka kwa elf 3, utacheka ila imagine ni dada yako au mama yako
 
Nyumba ya familia umeiweka bondi upewe mkopo lakini ukiangalia biashara upepo umebadilika yani hutoboi kwenye marejesho, hizo stress hata unywe pombe hazituliziki

Ndugu wanaona una pesa duka limenawiri bila kujali ni mkopo, Ni kama vile inaanzishwa ligi ya kukutupia matatizo yao halafu ukikataa unaonekana unajitenga, kichwa kinawaka moto brother

Hujamaliza marejesho, wafanyakazi wanaanza kudai mishahara yao, umewapiga kalenda miezi mitatu.

Simu baada ya lisaa ina ring, benki wanataka pesa zao, waweza zima simu siku nzima
Hahaha
 
Bora mkopo wa biashara kuliko mkopo wa kufanyia sherehe au kutoa mahari
 
Back
Top Bottom