Vijana mnapopata nafasi za kiuongozi kaeni mbali na rushwa na Ufisadi, Kuna siku majina yenu yatajadiliwa kama ilivyo leo kwa Kafulila

Vijana mnapopata nafasi za kiuongozi kaeni mbali na rushwa na Ufisadi, Kuna siku majina yenu yatajadiliwa kama ilivyo leo kwa Kafulila

Wewe unafahamu sifa zilizofanya amteue mpaka useme amtengue?

Kafulila ni nembo ya Uimara na Uadilifu kwa Taifa unalijua hili?

Serikali inapokuwa na watu waadilifu aina ya kina Kafulila na wengine inapata uhalali mbele ya Watanzania hasa Wazalendo.

Kafulila is here to stay labda tumshauri Rais ampe nafasi ya juu zaidi.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Naona KAFULILA TUMBILI umekuja na ID nyingine, nilitaka kushangaa TUMBILI WEWE usije kwenye Uzi huu.


Hivi Huwa mnalipwa shilingi ngapi kumjenga huyu jamaa???

Tatizo uraia wako/wake.
Lakini pia tamaaa zake.

Endeleeni kujitoa UFAHAMU kutwanga pilipili...
Kweli UJINGA NI MZIGO.
 
Wewe ndiye TUMBILI MWENYEWE, umekuja kumsaidia CHAWA WAKO baada ya kuona anazidiwa nguvu.

Wee TUMBILI ridhika na PPP.

Hivi ilikuwaje mpaka Jesikisho.......mpaka akaanza kutoa MBUNYE nje??
Nasikia no iii ANAMYANDUA VIBAYA.

Acha tamaa wewe mrundi, ushauri, shugulika kwanza na Ndoa Yako.

😅😅🤔🤔
Wewe nawe tumekuchoka kazi kuparamia Kila mtu humu kuwa ni Kafulila,

We are tired of you guy.
 
TUMBILI,na wewe TUMBILI CHAWA, ni wapuuzi mliokosa FOCUS, Kafulila uraia wake una shaka, ana tamaaa, anawatuma Wajinga na wapuuzi kuja kupima upepo.

Kijana unakuli kutumika kama ROUGH RIDER au DUME, na mwanaumewenxako.

Endelea kuleta nyuzi za promotion ya TUMBILI.

Hii yote unafanya kwa sababu tu unaongozwa na AKILI ZA KUVUKIA BARABARA.

The most arrogant JF member,ever seen before.

Shame on you,endelea na ujinga.
Nimekataa kujadili udaku nitajadili Uzalendo wa vijana wetu.

Maandiko yangu haya ni funzo kubwa kwa vijana wa Leo na kesho
 
Wewe nawe tumekuchoka kazi kuparamia Kila mtu humu kuwa ni Kafulila,

We are tired of you guy.
Tuambie kwanini kila siku unaleta mada ya TUMBILI,??? Hiyo tu inatosha.

Kila siku TUMBILI,TUMBILI,TUMBILI,TUMBILI, TUMBILI, TUMBILI,TUMBILI, TUMBILI,TUMBILI, ....Siku akitoka kunya mtaandika TUMBILI katoka kunya....


Inachosha, mwambieni project yake imefeli KABISA.

TUMBILI ni muongo sana....


Eti mwendo kasi kununua mabasi mapya, msajiri wa hazina,, ".. serikali kukopa pesa NMB kwa ajili ya kununua mabasi mapya"
TUMBILI ni mropokaji,DOMOKAYA😅🤣😅🤣
 
Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Huyu mrundi anajitahidi kujipost sana, jinga kabisa
 
Stupidfull, Nchi imejaa vijana wa hovyo sana,

Acha mazoea na Mimi nilishakwambia, Mimi sio level yako.

Wewe na ujambazi wako huwezi kunizuia kujadili watu Wazalendo wa Taifa hili kama ilivyo kwa Kafulila.

Wewe ni jambazi,
Wewe ni mpigaji tunakujua tangu enzi ya Magu.

Nimeshakujua kwa taarifa tu.
Mkuu unavyojinadi kuwa na mapesa mengi, wewe levels na kukashifu wengine.... Labda tu tukuulize chanzo cha hayo mapesa mengi na utajiri ni kwa kazi hiyohiyo tu ya kubahatika kuajiriwa kutumikia wananchi au na upigaji unaingiamo emo?! Maana kwa mshahara tu na posho huwezi kuwa tajiri.

Angalizo:- Sio kwa ubaya lakini, usije kuniwakia bure... Maana huku afrika inajulikana

"Ukitaka kuwa tajiri, ingia kwenye siasa na ubahatike kupata nyadhifa kubwakubwa...au kupata nafasi zile sehemu/ofisi nyeti Basi ushaula"
 
Hata hivyo Mimi sio Kafulila Kila mtu humu ananifahamu kitambo sana.🤣

Au jamaa kakuzuia kupata ile 10% pale kama up livyozoea?

Do you think Dkt Mpango ndio anapenda wezi?

Do you think Dkt Samia anapenda wezi?
Nadhani tumshauri akutoe wewe na ujambazi wako huu, We know well.

Umeliibia sana hili Taifa na huchoki kuliibia hata TISS wanajua hili.
Hao TISS mbona hawawaadabishi watu wa namna hii sasa mkuu?
 
Kafulila ndoa tu inemshinda tena ya Kikiristi

Wakristo tuna kipimo cha kupima mtu kama ana akili kichwani au la

Biblia imagination kuwa wanaume waishi na wanawake kwa akili

Mwanaume asiyekuwa na akili hawezi ishi na mke ndoa lazima ivunjike

Kafulila akili hana ndio maana ndoa yake na Jesca Kishoa ilishavunjika

Anashindwa ku.manage mke tu ndio aweze nchi au taasisi kubwa wakati akili tu ya ku manage mtu mmoja tu mke imemshinda
Haya ni maswala personal... Hapa kama unamdhalilisha hivi mheshimiwa David Kafulila.

Angalia na upime vya kuzungumza kwenye hadhira ndugu Shotocan
 
Wewe unafahamu sifa zilizofanya amteue mpaka useme amtengue?

Kafulila ni nembo ya Uimara na Uadilifu kwa Taifa unalijua hili?

Serikali inapokuwa na watu waadilifu aina ya kina Kafulila na wengine inapata uhalali mbele ya Watanzania hasa Wazalendo.

Kafulila is here to stay labda tumshauri Rais ampe nafasi ya juu zaidi.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Je unajua kwanini anaitwa Tumbili?
 
Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Hivi ni kwanini Kafulila aliachwa na mkewe Jesca?
 
Ni ngumu sana ktk hiki chama kutenganisha RUSHWA na chama hicho,
ccm na rushwa ni sawa "LILA na FILA" mliososoma riwaya hizi mmelewa!
 
Jamaa anapigiwa promo sijui mnataka nani amuone nabkwa manufaa ya nini?
 
Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Hajajaribiwa kukaa kitengo chenye hela kwa hiyo hatujui uadilifu wake, lakini Kuna wakazi wa simiyu alipokuwa mkuu wa mkoa wanashuhudia kwamba alikuwa anakula

Anatumiwa kula rushwa za stakabadhi ghara in na mazao ya kilimo

Kpia wewe chawa wa kafulila nenda kwanza kamuulize Dr slaa na mbatia juu ya tabia ya kafulila ya kupenda kupindua uongozi anaoukutaanapokaribishwa
 
Hajajaribiwa kukaa kitengo chenye hela kwa hiyo hatujui uadilifu wake, lakini Kuna wakazi wa simiyu alipokuwa mkuu wa mkoa wanashuhudia kwamba alikuwa anakula

Anatumiwa kula rushwa za stakabadhi ghara in na mazao ya kilimo

Kpia wewe chawa wa kafulila nenda kwanza kamuulize Dr slaa na mbatia juu ya tabia ya kafulila ya kupenda kupindua uongozi anaoukutaanapokaribishwa
Kama anapenda kupindua Mbona hakuwapindua Mbatia na huyo Slaa? Mpaka Selasini alipofanya yake?

Story ya Mbatia na Kafulila inajulikana nchi nzima na chanzo ni Kafulila kugoma kuhongwa na watu wa Escrow ndio wakamfuata Mbatia.

CHADEMA Kafulila alimshinda Heche Uenyekiti Taifa Mbowe akaagiza matokeo yafutwe ivo tu 😂😂

Kafulila ni Mpango wa Mungu mwenyewe tangu enzi na enzi hizi.
 
Back
Top Bottom