Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Naona KAFULILA TUMBILI umekuja na ID nyingine, nilitaka kushangaa TUMBILI WEWE usije kwenye Uzi huu.Wewe unafahamu sifa zilizofanya amteue mpaka useme amtengue?
Kafulila ni nembo ya Uimara na Uadilifu kwa Taifa unalijua hili?
Serikali inapokuwa na watu waadilifu aina ya kina Kafulila na wengine inapata uhalali mbele ya Watanzania hasa Wazalendo.
Kafulila is here to stay labda tumshauri Rais ampe nafasi ya juu zaidi.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
TUMBILI aambaye mtalaka wake anagawa MBUNYE???😅🤣😅CHADEMA wanamwogopa sana Kafulila sijui kwanini??!😂😂
Wewe nawe tumekuchoka kazi kuparamia Kila mtu humu kuwa ni Kafulila,Wewe ndiye TUMBILI MWENYEWE, umekuja kumsaidia CHAWA WAKO baada ya kuona anazidiwa nguvu.
Wee TUMBILI ridhika na PPP.
Hivi ilikuwaje mpaka Jesikisho.......mpaka akaanza kutoa MBUNYE nje??
Nasikia no iii ANAMYANDUA VIBAYA.
Acha tamaa wewe mrundi, ushauri, shugulika kwanza na Ndoa Yako.
😅😅🤔🤔
Nimekataa kujadili udaku nitajadili Uzalendo wa vijana wetu.TUMBILI,na wewe TUMBILI CHAWA, ni wapuuzi mliokosa FOCUS, Kafulila uraia wake una shaka, ana tamaaa, anawatuma Wajinga na wapuuzi kuja kupima upepo.
Kijana unakuli kutumika kama ROUGH RIDER au DUME, na mwanaumewenxako.
Endelea kuleta nyuzi za promotion ya TUMBILI.
Hii yote unafanya kwa sababu tu unaongozwa na AKILI ZA KUVUKIA BARABARA.
The most arrogant JF member,ever seen before.
Shame on you,endelea na ujinga.
Tuambie kwanini kila siku unaleta mada ya TUMBILI,??? Hiyo tu inatosha.Wewe nawe tumekuchoka kazi kuparamia Kila mtu humu kuwa ni Kafulila,
We are tired of you guy.
Huyu mrundi anajitahidi kujipost sana, jinga kabisaSikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Hamna kitu, hakunaNimekataa kujadili udaku nitajadili Uzalendo wa vijana wetu.
Maandiko yangu haya ni funzo kubwa kwa vijana wa Leo na kesho
Mkuu unavyojinadi kuwa na mapesa mengi, wewe levels na kukashifu wengine.... Labda tu tukuulize chanzo cha hayo mapesa mengi na utajiri ni kwa kazi hiyohiyo tu ya kubahatika kuajiriwa kutumikia wananchi au na upigaji unaingiamo emo?! Maana kwa mshahara tu na posho huwezi kuwa tajiri.Stupidfull, Nchi imejaa vijana wa hovyo sana,
Acha mazoea na Mimi nilishakwambia, Mimi sio level yako.
Wewe na ujambazi wako huwezi kunizuia kujadili watu Wazalendo wa Taifa hili kama ilivyo kwa Kafulila.
Wewe ni jambazi,
Wewe ni mpigaji tunakujua tangu enzi ya Magu.
Nimeshakujua kwa taarifa tu.
Hao TISS mbona hawawaadabishi watu wa namna hii sasa mkuu?Hata hivyo Mimi sio Kafulila Kila mtu humu ananifahamu kitambo sana.🤣
Au jamaa kakuzuia kupata ile 10% pale kama up livyozoea?
Do you think Dkt Mpango ndio anapenda wezi?
Do you think Dkt Samia anapenda wezi?
Nadhani tumshauri akutoe wewe na ujambazi wako huu, We know well.
Umeliibia sana hili Taifa na huchoki kuliibia hata TISS wanajua hili.
Haya ni maswala personal... Hapa kama unamdhalilisha hivi mheshimiwa David Kafulila.Kafulila ndoa tu inemshinda tena ya Kikiristi
Wakristo tuna kipimo cha kupima mtu kama ana akili kichwani au la
Biblia imagination kuwa wanaume waishi na wanawake kwa akili
Mwanaume asiyekuwa na akili hawezi ishi na mke ndoa lazima ivunjike
Kafulila akili hana ndio maana ndoa yake na Jesca Kishoa ilishavunjika
Anashindwa ku.manage mke tu ndio aweze nchi au taasisi kubwa wakati akili tu ya ku manage mtu mmoja tu mke imemshinda
Ni kweli kabisa! Ninao mfano hai ingawa siwezi kuuzungumza humu katu!Uzalendo unalipa sana vijana lazima TUJUE hili
Anafaa sana kuwa mheshimiwa Rais, miaka ya mbeleni... Ili awanyooshe na awasambaratishe hao wakabila kutoka kaskaziniCHADEMA wanamwogopa sana Kafulila sijui kwanini??!😂😂
Je unajua kwanini anaitwa Tumbili?Wewe unafahamu sifa zilizofanya amteue mpaka useme amtengue?
Kafulila ni nembo ya Uimara na Uadilifu kwa Taifa unalijua hili?
Serikali inapokuwa na watu waadilifu aina ya kina Kafulila na wengine inapata uhalali mbele ya Watanzania hasa Wazalendo.
Kafulila is here to stay labda tumshauri Rais ampe nafasi ya juu zaidi.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Hivi ni kwanini Kafulila aliachwa na mkewe Jesca?Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Hajajaribiwa kukaa kitengo chenye hela kwa hiyo hatujui uadilifu wake, lakini Kuna wakazi wa simiyu alipokuwa mkuu wa mkoa wanashuhudia kwamba alikuwa anakulaSikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Unajua kwanini anaitwa Tumbili?
Kama anapenda kupindua Mbona hakuwapindua Mbatia na huyo Slaa? Mpaka Selasini alipofanya yake?Hajajaribiwa kukaa kitengo chenye hela kwa hiyo hatujui uadilifu wake, lakini Kuna wakazi wa simiyu alipokuwa mkuu wa mkoa wanashuhudia kwamba alikuwa anakula
Anatumiwa kula rushwa za stakabadhi ghara in na mazao ya kilimo
Kpia wewe chawa wa kafulila nenda kwanza kamuulize Dr slaa na mbatia juu ya tabia ya kafulila ya kupenda kupindua uongozi anaoukutaanapokaribishwa