Mbona kama wasukuma wenzako wanaakili wewe tatizo lako nini?Naona KAFULILA TUMBILI umekuja na ID nyingine, nilitaka kushangaa TUMBILI WEWE usije kwenye Uzi huu.
Hivi Huwa mnalipwa shilingi ngapi kumjenga huyu jamaa???
Tatizo uraia wako/wake.
Lakini pia tamaaa zake.
Endeleeni kujitoa UFAHAMU kutwanga pilipili...
Kweli UJINGA NI MZIGO.
Wewe ni chawa tu.Kwani wewe ukiacha hizo kejeli,
Unasemaje kuhusu Kafulila?
Je, ni mwizi?
Je, ni fisadi?
Je, kajilimbikizia mali zozote popote?
Je, anafaa kujadiliwa kwa record zake hizo hata kama zimepita?
Hili Taifa tumekuwa watu wa kujali udaku badala ya hatma ya Taifa lenyewe.
Leo Rais Samia anafanya mambo makubwa ila hayapewi uzito badala yake umbea ndio unapewa nguvu.
Nakubaliana na wewe Kwa hilo.Bahati mbaya hapa duniani Kila mtu ni chawa inategemea huo Uchawa wako unaufanyia wapi
Unahangaika sana kumzuia Kafulila I'll la tambua yule jamaa ni mpango kamili wa MunguTuambie kwanini kila siku unaleta mada ya TUMBILI,??? Hiyo tu inatosha.
Kila siku TUMBILI,TUMBILI,TUMBILI,TUMBILI, TUMBILI, TUMBILI,TUMBILI, TUMBILI,TUMBILI, ....Siku akitoka kunya mtaandika TUMBILI katoka kunya....
Inachosha, mwambieni project yake imefeli KABISA.
TUMBILI ni muongo sana....
Eti mwendo kasi kununua mabasi mapya, msajiri wa hazina,, ".. serikali kukopa pesa NMB kwa ajili ya kununua mabasi mapya"
TUMBILI ni mropokaji,DOMOKAYA😅🤣😅🤣
Kama anapenda kupindua Mbona hakuwapindua Mbatia na huyo Slaa? Mpaka Selasini alipofanya yake?
Story ya Mbatia na Kafulila inajulikana nchi nzima na chanzo ni Kafulila kugoma kuhongwa na watu wa Escrow ndio wakamfuata Mbatia.
CHADEMA Kafulila alimshinda Heche Uenyekiti Taifa Mbowe akaagiza matokeo yafutwe ivo tu 😂😂
Kafulila ni Mpango wa Mungu mwenyewe tangu enzi na enzi hizi.
Kafulila anashine mpaka Leo ni jasiri na mwadilifu kwa kiasi kikubwaKafulila alishine sana kwenye Escrow.
Hata wewe ni mmoja wao?Story zako zinachekesha dogo
Huu muda wakumfagilia mwanaume mwenzio unaupata wapi dogo
Hii nchi imejaa mabumunda tu
Dogo Mimi kiwango changu ni kujadili "issue" siyo kumsifia mtuHata wewe ni mmoja wao?
Kafulila tukiacha chuki za kibinadamu jamaa yuko vizuriSikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Ushauri mzuri sana huuSikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Mbona inasomeka vizuri tu hapo kataja Marais wote specifically Rais SamiaKwa hiyo hao maraisi wengine wote uliowaruka wewe Kafulila kama Raisi Mwinyi ,Kikwete na Magufuli walikuwa wala Rushwa na wenye vimelea vya rushwa kasoro Nyerere na Samia tu uliowataja?
Kafulila una shida gani wewe?
Raisi Samia tunaomba umpumzishe huyu mwehu wako tumechoka na nyuzi zake
Amekutuma au wewe ndiye Kafulila?.Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Kafulila ni mtu makini hilo halina ubishiSikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2.Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3.Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma
<<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?
<<< Kwanini kila kwenye Wanasiasa 10 wa CCM wanaopendekezwa kugombea uRais David Kafulila lazima awemo?