mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Wasalaam,
Inashangaza na kusikitisha kuona kikundi cha vijana wa CCM wakihangaikia ujenzi wa legacy ya mwendazake huku wakisahau kuwa nao inatakiwa waweke legacy kabla ya kwendazao, yaani wanajitahidi kuweka legacy zao kupitia tarumbeta na pambio za ujenzi wa legacy za aliyekuwa Mwenyekiti wao.
Inapaswa ijulikane hivi, legacy huweka na mtu husika na haihitaji juhudi za watu wengine kuiweka, Maandiko yanatwambia apandae haba huvuna haba, usitegemee kuvuna mapapai kwenye shamba la machungwa, Vivyo hivyo usitegemee kuvuna mema katika mbegu ya ubaya.
Inahudhunisha kuona vijana mkitukanana kwa sababu ya kumjengea mtu legacy, ni wakati wenu kujenga legacy zenu wenyewe
APANDAYE KWA UKARIMU ATAVUNA KWA UKARIMU
Inashangaza na kusikitisha kuona kikundi cha vijana wa CCM wakihangaikia ujenzi wa legacy ya mwendazake huku wakisahau kuwa nao inatakiwa waweke legacy kabla ya kwendazao, yaani wanajitahidi kuweka legacy zao kupitia tarumbeta na pambio za ujenzi wa legacy za aliyekuwa Mwenyekiti wao.
Inapaswa ijulikane hivi, legacy huweka na mtu husika na haihitaji juhudi za watu wengine kuiweka, Maandiko yanatwambia apandae haba huvuna haba, usitegemee kuvuna mapapai kwenye shamba la machungwa, Vivyo hivyo usitegemee kuvuna mema katika mbegu ya ubaya.
Inahudhunisha kuona vijana mkitukanana kwa sababu ya kumjengea mtu legacy, ni wakati wenu kujenga legacy zenu wenyewe
APANDAYE KWA UKARIMU ATAVUNA KWA UKARIMU