Vijana na wazee mliopo kwenye ndoa msipende kujibu SMS za michepuko zinazotokea juu ya Screen

Vijana na wazee mliopo kwenye ndoa msipende kujibu SMS za michepuko zinazotokea juu ya Screen

Watu wanambinu balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo ni mbinu ya kikesh, Ila wewe nakushauri tu kana katakata usikubal kosa bora hata umsingizie mshikaji, ukithibitisha tu basi jiandae kulipa.
 
Hii ndio akili, simu yangu sijawahi ruhusu aina yoyote ya notification.. na mda wote ipo kwenye silent mode
Hiyo sehem inayo sema Do not disturb sijui ndio ningekuwa naitumia tu? Najuta mm [emoji24][emoji24]
Screenshot_20230414-212507.jpg
 
Hiyo ni mbinu ya kikesh, Ila wewe nakushauri tu kana katakata usikubal kosa bora hata umsingizie mshikaji, ukithibitisha tu basi jiandae kulipa.
Siwez kubali kosa hata siku moja , yaani nimegoma kabisaaa japo kanuna mpaka sasa siongeleshwi [emoji24][emoji24]
 
Siwez kubali kosa hata siku moja , yaani nimegoma kabisaaa japo kanuna mpaka sasa siongeleshwi [emoji24][emoji24]
Mbembeleze tu ujishushe kidogo afu umpelekee [emoji91] atakusameh hawanaga shida hawa wenzetu.
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen.

Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
kivipi yaani??? you're careless man??

Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
 
Hayo mambo ya kufichaficha hizo notifications ndo yanafanya tuseme NDOA NI UTAPELI 🤔
Wala hata mie sijaficha kwa sababu ya mpenzi wangu, yeye hata akiitaka simu yangu nampa vzuri tu. Kuna mazingira huwa nakutana nayo mara nyingi watu kupekua simu yangu huwa sipendi ndio sababu nikaweka hivyo.
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen.

Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ilinikuta hii nilikua nachat na wawili mmoja naempenda na dem fulan anaeshobokaga.

Nlikua naperuzi JF huku nachat nao ila akili yangu haikuwa kwao ilikua ktk uzi fulan humu. nilikua nachart tu wasione nawadharau kwahyo nilikua na reply tu hapo hapo juu ya screen huku naendelea kusoma humu.

Sms nilikua namtumia mchepuko "nimemiss kulala na ww" bahati mbaya nika reply kwa ninaempenda[emoji23] alfu alikua kaniuliza mambo mengine ya msingi nikajibu hivo.. nikabidi nitume nyingine ili asihisi nimekosea
"jana nimekuota mpka nimemiss kulala na ww" .

Nilikoma kuchart hivo na pia niliacha kabisa kuchart na wanawake wawili kwa wakati mmoja
 
iyo kitu ogopa sana mm nashkr ilinitokea kipind sijaoa nlipigwa chini mazima coz nlkua mtu wa matukio sana..nyingine usipende kumuonyesha vitu kwenye simu mkeo kunakuaga na tumesej twa wasap kitatumwa mida hio
Hapana hapo mbona kawaida tu, mimi najijua kabisa ni msaliti sugu kwahyo kama nipo pamoja nayeye huwa naweka notifications off kwenye whasap na sms za kawaida na kuwa na amani kabisa maana ukiwa unaficha ficha atapata mashaka.

Na pia kama kuna mchepuko anapenda kupiga sim huwa nampiga tofali kwa muda huo asije haribu, nikitoka hapo na unblock.

Mimi simu yangu huwa nampa kabsa anaangalia popote na simuangalii anachofanya ila kabla sijawa nae karibu lazima nifanye hivo
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen.

Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kesi ndogo hiyo
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen.

Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana
 
Ukiwa mtu wa maombi/ dua ni rahisi kukutana na sms za mchepuko wa mumeo, na kumsalimia Kisha kumwambia Mungu akupe wa kwako peke yakoo
 
Ilinikuta hii nilikua nachat na wawili mmoja naempenda na dem fulan anaeshobokaga.

Nlikua naperuzi JF huku nachat nao ila akili yangu haikuwa kwao ilikua ktk uzi fulan humu. nilikua nachart tu wasione nawadharau kwahyo nilikua na reply tu hapo hapo juu ya screen huku naendelea kusoma humu.

Sms nilikua namtumia mchepuko "nimemiss kulala na ww" bahati mbaya nika reply kwa ninaempenda[emoji23] alfu alikua kaniuliza mambo mengine ya msingi nikajibu hivo.. nikabidi nitume nyingine ili asihisi nimekosea
"jana nimekuota mpka nimemiss kulala na ww" .

Nilikoma kuchart hivo na pia niliacha kabisa kuchart na wanawake wawili kwa wakati mmoja
Mm mwenyewe nilikuwa naperuzi jf mkuu [emoji1787]
 
Back
Top Bottom