Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Kwa siku kadhaa hapa JF pametokea na wimbi la vijana wakija na mtazamo wa kwamba ndoa si muhimu na haina umuhimu hivyo hawaoni haja ya kuoa.
Nimekuja hapa kuwaambia neno moja tu kwamba wasijifiche kwenye shamba la karanga wakifikiri hatuwaoni. Tunajua wankwepa majukumu ili waendelee kulelewa na mashangazi.
Vijana acheni janja janja ikiwezekana itungwe sheria Kwamba kuoa iwe ni lazima na kosa la mtu anayenyandua mke wa mtu huku yeye akiwa hajaoa iwe ni miaka 30 au kifungo cha maisha kabisa ili hawa vijana wajifunze kuheshimu ndoa za watu.
Nimekuja hapa kuwaambia neno moja tu kwamba wasijifiche kwenye shamba la karanga wakifikiri hatuwaoni. Tunajua wankwepa majukumu ili waendelee kulelewa na mashangazi.
Vijana acheni janja janja ikiwezekana itungwe sheria Kwamba kuoa iwe ni lazima na kosa la mtu anayenyandua mke wa mtu huku yeye akiwa hajaoa iwe ni miaka 30 au kifungo cha maisha kabisa ili hawa vijana wajifunze kuheshimu ndoa za watu.