Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Wazima wote? Natumaini ni wazima.
Kama kichwa kinavyojipambanua, wanawake kama siyo mabinti wengi wa Kitanzania na Afrika kwa ujumla wanaona fahari mwanaume kusumbuka kwa ajili yake hata kama ni 'for nothing'.
Mateso ya mvulana kwake binti ni 'pride', kutongoza si rahisi sana kama watu wanavyodanganyana mitandaoni, hasa kwa zama hizi za kileo.
Hapa sizungumzii kuwatongoza wanawake malaya (wauzaji) kama vijana wengi mnaokutana nao. Vijana wengi mnajisifia humu kukubalika kila mkitongoza ila kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa wengi wenu mnawatongoza malaya, aidha kwa kujua au kutokujua, wengi ni kwa kutojua.
Mwanamke wa Kiafrika wa kawaida asiye malaya huwezi kumla kimasikhara hovyo kama wanavyoliwa malaya wa wazi wazi au wa kisiri siri, never ever!
Ni lazima aku challenge hata kama anakupenda, kwa mitihani iliyo ndani ya uwezo wako.
Binafsi nimeacha kutongoza kwa maneno muda mrefu sana enzi hizo nikiwa at my late 30's. Baada ya hapo ilikuwa ni nipe nikupe, au njoo nikulale nikulipe then jikatae (kama vijana wanavyopenda kusema).
Sasa jana mida ya jioni nilijaribu kufanya utafiti pia kukumbusha enzi zangu. Nikam target binti mmoja aliyekuwa na dada yake. Nikapata nafasi nikaanza kumuimbisha (hapo ilikuwa Mlimani City ila ni kwa nje).
Alinichangamkia ila nilipoanza kwenda deep akaanza kushangaa sana. Akaniuliza kuwa umri huu sina mke kweli? Nikadanganya sina. Akaniuliza kazi yangu na kulisifia gari langu. Nilijua alicholenga, nikawasikitikia mno vijana moyoni.
Akasema mbona ghafla sana, akawa anasita sita akidhani nataka kumtoa kafara. Nikachukua no yake ila kabla ya hapo aliniuliza maswali ya kijinga, naweza yaita hivyo mpaka nikawa bored.
Midomo ikawa inatetemeka kwa hasira mpaka akajishtukia. Sikusema lolote nikaingia garini nikaondoka haraka. Nilipofika nyumbani ile namba nikaitupa kwenye ndoo ya taka.
Nilipowaza niliwaonea huruma mno vijana wetu, wanapitia magumu sana.
NB: Maneno ndani ya funga semi ni ya kiingereza. Stori hii nimeileta ili kuonesha masikitiko yangu kwa vijana wa kiume juu ya mabinti wa sasa. Poleni mno vijana.
Kama kichwa kinavyojipambanua, wanawake kama siyo mabinti wengi wa Kitanzania na Afrika kwa ujumla wanaona fahari mwanaume kusumbuka kwa ajili yake hata kama ni 'for nothing'.
Mateso ya mvulana kwake binti ni 'pride', kutongoza si rahisi sana kama watu wanavyodanganyana mitandaoni, hasa kwa zama hizi za kileo.
Hapa sizungumzii kuwatongoza wanawake malaya (wauzaji) kama vijana wengi mnaokutana nao. Vijana wengi mnajisifia humu kukubalika kila mkitongoza ila kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa wengi wenu mnawatongoza malaya, aidha kwa kujua au kutokujua, wengi ni kwa kutojua.
Mwanamke wa Kiafrika wa kawaida asiye malaya huwezi kumla kimasikhara hovyo kama wanavyoliwa malaya wa wazi wazi au wa kisiri siri, never ever!
Ni lazima aku challenge hata kama anakupenda, kwa mitihani iliyo ndani ya uwezo wako.
Binafsi nimeacha kutongoza kwa maneno muda mrefu sana enzi hizo nikiwa at my late 30's. Baada ya hapo ilikuwa ni nipe nikupe, au njoo nikulale nikulipe then jikatae (kama vijana wanavyopenda kusema).
Sasa jana mida ya jioni nilijaribu kufanya utafiti pia kukumbusha enzi zangu. Nikam target binti mmoja aliyekuwa na dada yake. Nikapata nafasi nikaanza kumuimbisha (hapo ilikuwa Mlimani City ila ni kwa nje).
Alinichangamkia ila nilipoanza kwenda deep akaanza kushangaa sana. Akaniuliza kuwa umri huu sina mke kweli? Nikadanganya sina. Akaniuliza kazi yangu na kulisifia gari langu. Nilijua alicholenga, nikawasikitikia mno vijana moyoni.
Akasema mbona ghafla sana, akawa anasita sita akidhani nataka kumtoa kafara. Nikachukua no yake ila kabla ya hapo aliniuliza maswali ya kijinga, naweza yaita hivyo mpaka nikawa bored.
Midomo ikawa inatetemeka kwa hasira mpaka akajishtukia. Sikusema lolote nikaingia garini nikaondoka haraka. Nilipofika nyumbani ile namba nikaitupa kwenye ndoo ya taka.
Nilipowaza niliwaonea huruma mno vijana wetu, wanapitia magumu sana.
NB: Maneno ndani ya funga semi ni ya kiingereza. Stori hii nimeileta ili kuonesha masikitiko yangu kwa vijana wa kiume juu ya mabinti wa sasa. Poleni mno vijana.