Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kuna upungufu mkubwa sana wa madaktari hapa nchini. Hospital za wilaya, vituo vya afya, private hospital wengi ni CO. Kwa hiyo soko la ajira kwa MD bado ni kubwa
Kuna dispensary anafanya uncle wangu shift elfu 8 yeye CO[emoji16][emoji16][emoji16]...ipo pale kibaha mwendapole na shift ya usiku ni elfu 7.Hutaki acha..wenzako watauchukua...naona huzijui hospital private za bongo wewe..ndio mana nakuuliza upo bongo au wewe ni diaspora.
#MaendeleoHayanaChama
Udaktari ni wito, usitangulize masilahiSoko lipo ila maslahi hamna
Kwa idadi hii ya graduates, MD haina ishu tena labda uwe na connection kweli kweli.
Usichanganye uhitaji na soko,Bado kuna upungufu mkubwa sana wa madaktari hapa nchini. Hospital za wilaya, vituo vya afya, private hospital wengi ni CO. Kwa hiyo soko la ajira kwa MD bado ni kubwa
Udaktari ni wito, usitangulize masilahi
Duuh, bora ujifunze skills zingine tu, ndio maana vijana wanamaliza chuo wanakua madalali wanapost kila siku bidhaa Instagram.Kuna dispensary anafanya uncle wangu shift elfu 8 yeye CO[emoji16][emoji16][emoji16]...ipo pale kibaha mwendapole na shift ya usiku ni elfu 7.
Ndiyo maana wengine wanakuwa wanasiasaWito au co???wakati wanasiasa wakiidadavua vilivyo keki ya taifa
Huruma tupuDuuh, bora ujifunze skills zingine tu, ndio maana vijana wanamaliza chuo wanakua madalali wanapost kila siku bidhaa Instagram.
Mbaya zaidi hata huko glossary wakikutana wanaoengea wagonjwa haohao TU baaasiNdiyo maana wengine wanakuwa wanasiasa
Ukiangalia masilahi hii lazima kuna muda utaacha. We kuanzia saa moja na nusu asubuhi mpaka saa kumi unakutana na wagonjwa tu non stop
AiseeKuna dispensary anafanya uncle wangu shift elfu 8 yeye CO[emoji16][emoji16][emoji16]...ipo pale kibaha mwendapole na shift ya usiku ni elfu 7.
Oyaaaa mzeee wa Kula kimasihara kumbe Umesoma hapa [emoji16][emoji16][emoji16]dahMsalimie Minzi boss.. Hujakosea kakaa..!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]You may wish go and read...Oyaaaa mzeee wa Kula kimasihara kumbe Umesoma hapa [emoji16][emoji16][emoji16]dah
Ningeiendelea ningekuja kubaka Kaka [emoji16][emoji16][emoji16]sema nlitembea nayo Balaaa Mpaka Sasa dah Ni balaaa [emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]You may wish go and read...
Eehe komaa mzee utapita tu...!! All the bestNingeiendelea ningekuja kubaka Kaka [emoji16][emoji16][emoji16]sema nlitembea nayo Balaaa Mpaka Sasa dah Ni balaaa [emoji28]
Thanks SanaEehe komaa mzee utapita tu...!! All the best