Vijana tafuteni hela, acheni utani

Vijana tafuteni hela, acheni utani

ha ha hapo TRA wakimtembelea ataanza kulia lia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona issue ndogo sana hiyo! Unakumbuka 50Cents alipotakiwa millions of dollars akatangaza kufilisika! Baada ya mahakama kukubaliana na hoja zake, akarudi Instagram aka-post zigo la madola! Walipomuibukia na kudai namna gani vp anatangaza kufilisika halafu anaonekana na madolari; akawaambia ni "Fake dollars, just for show off!"
 
Mbona issue ndogo sana hiyo! Unakumbuka 50Cents alipotakiwa millions of dollars akatangaza kufilisika! Baada ya mahakama kukubaliana na hoja zake, akarudi Instagram aka-post zigo la madola! Walipomuibukia na kudai namna gani vp anatangaza kufilisika halafu anaonekana na madolari; akawaambia ni "Fake dollars, just for show off!"
Kwa hiyo sheria, taratibu na namna ya ulipaji kodi vinafanana kwenye hizo nchi mbili? Sehemu nyingine ukitangaza umefilisika wanapiga mnada nyumba yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo sheria, taratibu na namna ya ulipaji kodi vinafanana kwenye hizo nchi mbili? Sehemu nyingine ukitangaza umefilisika wanapiga mnada nyumba yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa suala la sheria linatoka wapi hapo?! Issue hapo ni kuonekana anahesabu pesa ambazo mtu anaweza kusema zile hazikuwa pesa halali bali magarasa tu! Hoja ndo ipo hapo!! Hoja sio suala la kutangaza mufilisi!

Lakini kama ndo unachohitaji; twende taratibu!!! Sijasema 50Cent kutangaza mufilisi ilikuwa ndo kigezo cha yeye kutolipa madeni! Kwa sheria za US, unapotangaza mufilisi na mahakamani ukakubaliwa; unatakiwa kujipanga na kulipa deni in installments kwa kipindi utakachopewa na mahakama! Kwa mfano 50Cent alipewa miaka 5! Na unafanya hivyo kukwepa kufilisiwa kwa biashara zako kulipia madeni!
 
Maisha ni mafupi sana jaman yaan ukipata gap la hela piga kabisa usilembe....ufe na ufukara na mbiguni usiende hatari sana
Unapokuwa hauna hela.mademu wanakuona sokwe.
df6fa87ca06ccdbf89030f87e38d3599.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa suala la sheria linatoka wapi hapo?! Issue hapo ni kuonekana anahesabu pesa ambazo mtu anaweza kusema zile hazikuwa pesa halali bali magarasa tu! Hoja ndo ipo hapo!! Hoja sio suala la kutangaza mufilisi!

Lakini kama ndo unachohitaji; twende taratibu!!! Sijasema 50Cent kutangaza mufilisi ilikuwa ndo kigezo cha yeye kutolipa madeni! Kwa sheria za US, unapotangaza mufilisi na mahakamani ukakubaliwa; unatakiwa kujipanga na kulipa deni in installments kwa kipindi utakachopewa na mahakama! Kwa mfano 50Cent alipewa miaka 5! Na unafanya hivyo kukwepa kufilisiwa kwa biashara zako kulipia madeni!
Uko sahihi katika muktadha huo. Ila point ni kwamba kuna sehemu ukusanyaji wa kodi sio rafiki Sana. Watoza kodi wataku harass na huo muda sijui wa mahakamani kesi na kusema ni hela bandia hawatakuwa na huo muda wa kusikiliza utetezi. Hivyo kufananisha ishu za US na kusema ni ishu ndogo sio sahihi. Wakikuamulia hutabaki na hata senti mbovu ya kurusha mtandaoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi katika muktadha huo. Ila point ni kwamba kuna sehemu ukusanyaji wa kodi sio rafiki Sana. Watoza kodi wataku harass na huo muda sijui wa mahakamani kesi na kusema ni hela bandia hawatakuwa na huo muda wa kusikiliza utetezi. Hivyo kufananisha ishu za US na kusema ni ishu ndogo sio sahihi. Wakikuamulia hutabaki na hata senti mbovu ya kurusha mtandaoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hao TRA sio wajinga wadai kodi kwa kigezo cha picha za mtandaoni! Kama ni pesa, wanafahamu pesa inakaa benki na huko ndiko atakumbana na Withholding Tax! Kama picha ile amepiga akiwa nje ya nchi, wanafahamu hakuna sheria duniani inayoruhusu mtu binafsi kusafiri na kiwango kikubwa cha cash. Hapo napo kumbe itabidi tena aipitishie bank kuileta Tanzania!

Wakiona kiwango cha pesa kwenye accounts zake zote za benki hakiakisi kile walichoamini, sana sana wanaweza kuhisi ana account nje ya nchi (kv anasafiri sana nje) au anaweka pesa kwenye kibubu! Yote hayo, ni TRA ndio watatakiwa kuthibitisha kwamba jamaa ana account nje ya nchi bila kufuata taratibu au anaficha kwenye kibubu kukwepa kodi!!
 
Wacheza basketi, Mabondia na wanamziki hupenda kuonyesha sana kwamba wana hela...huenda ni dini yao....yote kwa yote tutafteni hela
 
Msenge huyu , sasa huyu kima naye anapesa gani ??? . Wabongo bana

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena Bonge la fala😂😂😂 mzee Mengi mbona ana show off kama hizi au kina manji?? wenye pesa awazionyeshi..ukiona mtu anaonyesha onyesha tuela twake ktk social medias ujue ni maskini mwenye ofu na anataka aiambia dunia kuwa anazo wakt ana kitu....Bill gates ajawai piga ata picha moja ameshika mahela
 
Mzee mengi yule mzee balaa anahonga hadi hewa
53060348_638012186637990_3263455001271139474_n.jpg

Tena Bonge la fala😂😂😂 mzee Mengi mbona ana show off kama hizi au kina manji?? wenye pesa awazionyeshi..ukiona mtu anaonyesha onyesha tuela twake ktk social medias ujue ni maskini mwenye ofu na anataka aiambia dunia kuwa anazo wakt ana kitu....Bill gates ajawai piga ata picha moja ameshika mahela
 
Ngoja nikamuulize maiweza maana za kwake zimefungwa kwa karatasi nzuri nzuri
Na ndio maana nimesema "wale wasiofanya biashara ya fedha" ingawaje kwa usahihi ningesema wale ambao wamechukua mzigo kutoka source ambayo ni wafanyabiashara ya fedha! Zile za Mayweather zinakuwa ama zimetoka bank moja kwa moja au zimepita kwenye mikono ambayo hawakuwahi kuzifungua na kuziingiza kwenye mzunguko! Lakini zikishaingia kwenye mzunguko, hapo rubber band haikwepeki! Dollar kwa mfano, zile Mond sijui ni picha ya Tanzania sema tu ka-post akiwa France au vipi! Lakini kama ni Tanzania, uwezekano wa kukuta dollar kwenye vikaratasi ni mdogo sana kwa sababu dollar nyingi zinazoingia mikononi mwa watu ni zile zilizotoka kwenye mzunguko!
 
Tena Bonge la fala😂😂😂 mzee Mengi mbona ana show off kama hizi au kina manji?? wenye pesa awazionyeshi..ukiona mtu anaonyesha onyesha tuela twake ktk social medias ujue ni maskini mwenye ofu na anataka aiambia dunia kuwa anazo wakt ana kitu....Bill gates ajawai piga ata picha moja ameshika mahela
Akifanya Mond ni ufala akifanya myweather ni ujanja na kila MTU atamsifu ooh jamaaa ana hela...kiufupi watanzania tunaoneana wivu sana na tunachukiana....
Mbna kwa myweather hamsemi
IMG-20190311-WA0002.jpg
IMG-20190311-WA0001.jpg
 
Tena Bonge la fala😂😂😂 mzee Mengi mbona ana show off kama hizi au kina manji?? wenye pesa awazionyeshi..ukiona mtu anaonyesha onyesha tuela twake ktk social medias ujue ni maskini mwenye ofu na anataka aiambia dunia kuwa anazo wakt ana kitu....Bill gates ajawai piga ata picha moja ameshika mahela
Get inspired or Hate>> By Floyd Mayweather!
 
Back
Top Bottom