Vijana tuache tamaa, tujifunze uaminifu

Vijana tuache tamaa, tujifunze uaminifu

mazojms

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2017
Posts
1,623
Reaction score
2,535
Najua ndio muda wetu wa kutafuta, lakini si kila fursa inayopita mbele yako lazima ufanye ujanja ujanja ili ufaidike. Jifunzeni kujenga uaminifu kwa watu hasa msiowajua.

I hate untrustworthy people.

images-9.jpg
 
Ukisikia paaa[emoji2][emoji2][emoji2] pole sana mkuu
Hahaha! Asante sana mkuu. Unajua mimi ni kati ya watu ambao ni ngumu sana kumuamini mtu, Vijana hawaaminiki to the point inaniwia vigumu sana kukamilisha mipango yangu hasa unapofika wakati nahitaji watu ili mambo yaende, unajikuta unatumia akili nyingi kufanya kitu kidogo. Hii inaniumiza sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom