Vijana tujiajiri, kataa kuwa mfungwa

Vijana tujiajiri, kataa kuwa mfungwa

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Kuna watu wanapata pesa nyingi na hawapo katika mfumo rasmi wa ajira

Ni kweli kuwa wazazi, ndugu na jamaa wanatamani upate ajira serikalini wakiaamini ndiyo njia sahihi ya kufanikiwa katika maisha yako jambo ambalo sio la kweli moja kwa moja na hii yote ni kutokana na ile dhana ya uoga wa maisha iliyopo vichwani mwa jamii za Kitanzania ya kwamba mtu aliyeajiriwa na serikali lazima afanikiwe na ni mtu muhimu kuliko

Hakuna jipya huko, kataeni kuwa wafungwa vijana, kumbuka bodaboda tu ni kazi ambayo inapatia vijana wengi wasomi pesa za kutosha kuliko hata mwalimu wa shule yani mtu unangoja laki 5 kwa mwezi wenzako wanaipata kwa wiki moja

Kuhusu kiinua mgongo NSSF Sasa hivi kila mtu anaweza kujiwekea na sio tu waajiriwa wa serikalini vijana

AMKENI ACHENI UOGA, HAKUNA JIPYA KULE UNAENDA KUWA MTUMWA NA UTADAIWA NA KILA BENKI
 
Kuna watu wanapata pesa nyingi na hawapo katika mfumo rasmi wa ajira

Ni kweli kuwa wazazi, ndugu na jamaa wanatamani upate ajira serikalini wakiaamini ndiyo njia sahihi ya kufanikiwa katika maisha yako jambo ambalo sio la kweli moja kwa moja na hii yote ni kutokana na ile dhana ya uoga wa maisha iliyopo vichwani mwa jamii za Kitanzania ya kwamba mtu aliyeajiriwa na serikali lazima afanikiwe na ni mtu muhimu kuliko

Hakuna jipya huko, kataeni kuwa wafungwa vijana, kumbuka bodaboda tu ni kazi ambayo inapatia vijana wengi wasomi pesa za kutosha kuliko hata mwalimu wa shule yani mtu unangoja laki 5 kwa mwezi wenzako wanaipata kwa wiki moja

Kuhusu kiinua mgongo NSSF Sasa hivi kila mtu anaweza kujiwekea na sio tu waajiriwa wa serikalini vijana

AMKENI ACHENI UOGA, HAKUNA JIPYA KULE UNAENDA KUWA MTUMWA NA UTADAIWA NA KILA BENKI
Wee wacha kuwafanganya vijana huku kwenye kuajitiwa kuna hela za nje nje mwanawane tena. Benefits kibao. Unatumia gari la serikali kwenda zako shamba bila wasiwasi
 
Mh nyie mnataka nijichanganye huko nipigwe za uso nije hapa kusema natamani kujiua muanze kunishushua 😂
Mtanisamehe wacha niendelee kuzungukazunguka viunga vya ofisi hii niliyopo kustaafu bado Sana .
Mimi nimenukuu waheshimiwa wanasiasa hasa wa CCM wanavyowaambia vijana graduates eti wawe wakulima.Wakulima wa magoti yao!?Au kama vipi,uwe AFSA USAFIRISHAJI aka bodaboda mkuu.
 
Wee wacha kuwafanganya vijana huku kwenye kuajitiwa kuna hela za nje nje mwanawane tena. Benefits kibao. Unatumia gari la serikali kwenda zako shamba bila wasiwasi
Mwambie huyo watu wanavyobugia keki ya nchi kwa upole huku wanarekebisha kola za mashati na skafu za blauzi.
 
Kuna watu hawana kipawa cha kujiajiri,yani hata umpe mabilioni na mbinu za kujiajiri bado hatoweza,yeye ni mtu wa kutimikishwa tu.
Sio ivyo ni mtu kutokuwa na uelewa anataka nini kwa wakati upi na je mtu huyo ana jua thaman ya kile anacho kifanya na je huyo mtu mtaji aliapate kama alipewa tu wengi wao wanakuwa hawana uchungu na ile pesa walio wekeza kozi wali pata kwa uwepesi
 
Sure na mtu huandaliwa akiwa mdogo sana
Sasa sikuandaliwa Kaka ,niache kuvaa uniform zangu Safi kabisa niende ofisini nikute foleni wananisubri niwahudumie hapo nilinge kidogo Mara nichart yaani kikubwa umuhimu wangu wauone

Mara kaje kajunior kamoja katoe salamu ya heshima niipokee huku moyoni nacheka kumbe nilisoma 😂😂

Eti nikajiajiri nianze kuhangaika na matapeli Mara chuma ulete aisee Kama ni utumwa na umasikini basi nipo tayari kufa nao
 
Kuna watu wanapata pesa nyingi na hawapo katika mfumo rasmi wa ajira

Ni kweli kuwa wazazi, ndugu na jamaa wanatamani upate ajira serikalini wakiaamini ndiyo njia sahihi ya kufanikiwa katika maisha yako jambo ambalo sio la kweli moja kwa moja na hii yote ni kutokana na ile dhana ya uoga wa maisha iliyopo vichwani mwa jamii za Kitanzania ya kwamba mtu aliyeajiriwa na serikali lazima afanikiwe na ni mtu muhimu kuliko

Hakuna jipya huko, kataeni kuwa wafungwa vijana, kumbuka bodaboda tu ni kazi ambayo inapatia vijana wengi wasomi pesa za kutosha kuliko hata mwalimu wa shule yani mtu unangoja laki 5 kwa mwezi wenzako wanaipata kwa wiki moja

Kuhusu kiinua mgongo NSSF Sasa hivi kila mtu anaweza kujiwekea na sio tu waajiriwa wa serikalini vijana

AMKENI ACHENI UOGA, HAKUNA JIPYA KULE UNAENDA KUWA MTUMWA NA UTADAIWA NA KILA BENKI
Ni kweli kabisa ila pia si kila mtu anaweza kujiajiri pia.
Hivyo kama umeajiriwa hakikisha ukiamua kuacha kazi na kwenda kwenye kujiajiri, hakikisha unaenda kufanya kitu unachokipenda na uko tayari kukabiliana na risks zote na usifanye hivyo kwa ababu tu umemwona fulani kafanya.
 
Sasa sikuandaliwa Kaka ,niache kuvaa uniform zangu Safi kabisa niende ofisini nikute foleni wananisubri niwahudumie hapo nilinge kidogo Mara nichart yaani kikubwa umuhimu wangu wauone

Mara kaje kajunior kamoja katoe salamu ya heshima niipokee huku moyoni nacheka kumbe nilisoma 😂😂

Eti nikajiajiri nianze kuhangaika na matapeli Mara chuma ulete aisee Kama ni utumwa na umasikini basi nipo tayari kufa nao
😂😂😂 basi nisaidie mm nifungue duka la dawa kwa vyeti vyako bhna 😂
 
Back
Top Bottom