mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,181
Kama vijana tupo serious kuna mambo kadhaa tunaweza kufanya;
1. Kufanya mobilization.Tuanzishe forum tukutane tuunde kundi tujisajili tukachukue mikopo halmashauri.Maneno bila vitendo ni sawa na bure.
2.Tutafute maeneo yenye rutuba tufanye kilimo chenye tija kwenye kilimo Serikali imeondoa tozo
sumbufu na watu wanapiga pesa kupitia kilimo tuwe serious, kama kuna mtu aliye serious na hii ishu ajitokeze kukaa kulaumu mtandaoni sio solution.
3.Tunaweza hata humuhumu kuanzisha forums kwa ajili ya kupeana mikakati ya kupiga biashara kukaa kulaumu Serikali tutalaumu hadi kuzeeka.
Kama tupo serious muda ni huu kama tunataka kuendelea kuwa walalamikaji JF basi utabaki kila siku kuilaumu Serikali.
Nawasilisha
1. Kufanya mobilization.Tuanzishe forum tukutane tuunde kundi tujisajili tukachukue mikopo halmashauri.Maneno bila vitendo ni sawa na bure.
2.Tutafute maeneo yenye rutuba tufanye kilimo chenye tija kwenye kilimo Serikali imeondoa tozo
sumbufu na watu wanapiga pesa kupitia kilimo tuwe serious, kama kuna mtu aliye serious na hii ishu ajitokeze kukaa kulaumu mtandaoni sio solution.
3.Tunaweza hata humuhumu kuanzisha forums kwa ajili ya kupeana mikakati ya kupiga biashara kukaa kulaumu Serikali tutalaumu hadi kuzeeka.
Kama tupo serious muda ni huu kama tunataka kuendelea kuwa walalamikaji JF basi utabaki kila siku kuilaumu Serikali.
Nawasilisha