Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,368
- 1,325
Wakuu habari za masiku ndugu zangu poleni na mihangaiko ya siku.
Nilikuwa na ushauri kwa vijana tunaopambana kutafuta kuna ile unapata hifadhi mbali na nyumbani huenda ni kwa ndugu au rafiki tujitahidi tukifika maeneo mageni tuache vitabia vyetu vya ambavyo unaona vitakuwa kero kwa mwenyeji wako.
Mimi binafsi kuna uzi wa interview uliwekwa humu kwa kuwa nipo Dodoma nikajitolea kijana mmoja atakayekuwa hana uwezo afikie Gheto tu kweli akaja kijana akafanya interview na akaondoka vizuri bila shida baada ya wiki kadhaa akaomba kurudi tena kuna ishu anafuatilia nikaona ni sawa kijana karudi amekaa takriban mwezi kaona maisha yetu hatuna shobo na mtu zaidi ya salamu basi yeye kaja kaanza kuwa mtu wa kuomba omba kwa majirani tabia ambazo hatuna kaomba na jiko kaanza kujipikia kubwa kuliko yote napigiwa simu na jirani anaanza kunielezea jamaa kamkopa hana mwelekeo wa kumlipa.
Jamani kama ukipata hifadhi jitahidi kuendana na watu walivyo jamani jamaa mambo ni mengi ya ovyo kafanya tumetulia hadi kukopa tena.
Mshikaji yupo humu asome na aelewe kabisa nimekasirika haswa na nimejifunza pia sitorudia kosa
Nilikuwa na ushauri kwa vijana tunaopambana kutafuta kuna ile unapata hifadhi mbali na nyumbani huenda ni kwa ndugu au rafiki tujitahidi tukifika maeneo mageni tuache vitabia vyetu vya ambavyo unaona vitakuwa kero kwa mwenyeji wako.
Mimi binafsi kuna uzi wa interview uliwekwa humu kwa kuwa nipo Dodoma nikajitolea kijana mmoja atakayekuwa hana uwezo afikie Gheto tu kweli akaja kijana akafanya interview na akaondoka vizuri bila shida baada ya wiki kadhaa akaomba kurudi tena kuna ishu anafuatilia nikaona ni sawa kijana karudi amekaa takriban mwezi kaona maisha yetu hatuna shobo na mtu zaidi ya salamu basi yeye kaja kaanza kuwa mtu wa kuomba omba kwa majirani tabia ambazo hatuna kaomba na jiko kaanza kujipikia kubwa kuliko yote napigiwa simu na jirani anaanza kunielezea jamaa kamkopa hana mwelekeo wa kumlipa.
Jamani kama ukipata hifadhi jitahidi kuendana na watu walivyo jamani jamaa mambo ni mengi ya ovyo kafanya tumetulia hadi kukopa tena.
Mshikaji yupo humu asome na aelewe kabisa nimekasirika haswa na nimejifunza pia sitorudia kosa