nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Jana nimepita mtaa fulani nimekuta watu wanacheza draft kweli? Nikawaza inamana hawa jamaa hawana michongo au,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna mchongo ndo ukae kijiweniNipe mchongo hutaniona tena kijiweni
Point IPO hapaDunia imebadilika mkuu.
Siku hizi Kuna watu ofisi zao Ni simu popote walipo wapo kazini.
Unaweza kubeba zegeNipe mchongo hutaniona tena kijiweni
Naweza mkuuUnaweza kubeba zege
Kila siku mnashauri wasio na michongo wasijifungie ndani wajichanganye sasa sijui mnataka wakajichanganye wapi kama vijiweni hamtaki tukaeKama huna mchongo ndo ukae kijiweni
inshu sio kufanya kazi wanafanya kazi gani waliandaliwa mazingira gani hawa vijana ya maisha yao ya baadaeJana nimepita mtaa fulani nimekuta watu wanacheza draft kweli? Nikawaza inamana hawa jamaa hawana michongo au,
USIKU WATAKUWA KAZINI USIHOFUJana nimepita mtaa fulani nimekuta watu wanacheza draft kweli? Nikawaza inamana hawa jamaa hawana michongo au,