na kama unamaanisha vijiweni basi hebu badili mtazamo wapo watu wanafanya kazi kwa masaa wengine wamejiajiri kwahyo kumkuta kijiweni isiwe sababu ya kuona hana jambo la kufanya ukikua utaelewa kila mtu ana mpango wake na hakuna anaekufa njaa hapo ndo ushangae