Vijana tusipitwe na hizi fursa!!

Mkuu ubarikiwe sana ntumie Pm namba zako nikutafute, kuusu Biashara ya Ngozi huwa nasafirisha sana mazao kutoka vijijini kuja mijini sasa huwa nakutana na Ngozi Nyingi sana sikujua kama ni dili
 
Mkuu ubarikiwe sana ntumie Pm namba zako nikutafute, kuusu Biashara ya Ngozi huwa nasafirisha sana mazao kutoka vijijini kuja mijini sasa huwa nakutana na Ngozi Nyingi sana sikujua kama ni dili


mkuu, nami niruhusu nikuPM unipe ABCs kuhusu biashara ya mazao kutoa vijijini to mijini.

-Kaveli-
 


Hahahaa Padri Mcharo , vipi wewe tayari ushaanza kuvuta mkwanja kwenye forex? au bado kwa training?

-Kaveli-
 

Forex traders always work smart
 
Hapo kwenye kuuza maji ukipata pikipiki yenye miguu mitatu ukaweka vzr kule nyuma unaweza beba hadi dumu 40...kwa bei ya dar dumu 500×40=20000 toa mafuta na gharama za maji ni kama max 10000...piga raound 5 kwa siku ndo utanielewa vzr...hiyo ya ngozi kweli kuna bro ndo biashara yake sijui wanafanyaje naitamani htr nilipo ngozi nyingi sn
 
wengine wageni mtaji lak 2 kwa wiki unapata ngap
 
Asante mkuu kwa kutufungua mawazo Allah akulipe
 
Mkuu Zillion natoa shukrani za dhati kwa niaba ya wana Jf wote.

Hapo kwenye biz ya ngozi,binafs niliwahi fanya biashara ya ng'ombe wa nyama pale V'nguti na Ukonga na ngozi mbichi nlikua napata 10,000 mpk 15,000 ss ila sijawahi kuifatilia

Huko Himo wakenya wananunuaje?

Na una taarifa zozote kuhusu biz ya zabibu nchini Kenya na miji yake?
 
Himo sehemu gani hapo mkuu, sokoni pale?
Ukifika Himo hata ukiuliza yeyote viwanda na wanunuzi utawapata ni wengi mkuu, kuna mtu alikuwa anafanya ila hapatikani ningekuunganisha
 
Wakenya wananunua kwa kg mkuu,
Kwasasa sijajua bei halisi sokoni ila mwaka 2015 1kg ilikuwa inauzwa 5000 wanakuja wenyewe kununua na watz wengine hupeleka wenyewe.
Nasikia Morogoro pia kuna kiwanda cha kusindika ngozi ila sijui wananunuaje

Zabibu sina ufahamu kwa soko la nje, ila msimu uliopita viwandani walinunua 2000-2500@kg hii ni kwa Dodoma.
Ni bei ndogo kwakweli.
 
mkuu samahani unaweza nipa ramani ya fursa ya ununuzi wa madini? Nimeupnda
 
NDO WANAFANYAJE HAO FOREX MKUU
 
Ngozi 1 ya ng'ombe ikishakauka inakuwa na wastani wa kg ngapi?

Zabibu msimu huu wamenunua mpk 1500 mkuu,,yani ni zaidi ya shida
 
mkuu samahani unaweza nipa ramani ya fursa ya ununuzi wa madini? Nimeupnda
Mkuu,
Madini hasa dhahabu yanapatikana maeneo mengi sana hapa Tz mf: Tanga, Mbeya, Dodoma, Geita, Mwanza, Mara, Shinyanga nk mfano Dodoma(wilaya ya Bahi wanchimba sana
Mtu yeyote ukienda na pesa cash unauziwa mzigo hapo mgodini wewe unapeleka dar Kkoo (wahindi wananunua kwa wingi na kusafirisha)
Sehemu nyingi za wachimbaji wadogo huwa wanauza kwa mteja yeyote anayepatikana.
Bei ni kama nilivyoainisha hapo awali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…