Vijana tusipitwe na hizi fursa!!

Vijana tusipitwe na hizi fursa!!

Greenhouse mita 8*24
Mfano zao la nyanya

Inaingia miche 700
Ukiihudumia vizuri mche mmoja unatoa 16_24kg
Mazao ya greenhouse Mara nyingi yanauzika supermarket kwasababu hayapigwi dawa na matunda yanakuwa mwonekano mzuri sana, (bei ya supermarket iko juu kuliko mtaani)

Therefore kama 1kg ni sh 1500
kwa miche 700
Mche mmoja unatoa 16kg. (kima cha chini)
16*700*1500= 16,800,000 kwa miezi sita pekee.
 
nina lorry ya 3t tu ungane tufanye hiyo kazi ya maji mkuu
 
Ukiwa na laki saba unapata gram 10 halaf we unauza sh.ngapi?hebu tueleweshe
 
Ukiwa na laki saba unapata gram 10 halaf we unauza sh.ngapi?hebu tueleweshe
Mbona nimeeleza vizuri tu mkuu

1gm mgodini 70000
Sokoni 86000 mpaka 93000
Faida 86000-70000=16000 au
93000-70000=23000
Kulingana na ubora wa dhahabu(purity).
 
Mkuu shukran kwa mawazo yako mazuri ya kujenga Taifa.sasa mkuu mm natafuta soko la MBAAZI nitapata wapi kwa bei mzuri?
 
Fursa isiyo na ma uzwazwa ni Forex Trading tu...
Ofisi yako ni Computer yako na Simu yako tu....
Hayo ma fursa sijui uanze kutafuta kiwanja, sijui leseni, wateja, mara majambazi wakuvamie.

Nilifungua Biashara ya Samaki Wabichi Tabora, ikafa...
Nimefungua banda la Chips Mwananyamala kwa Kopa, ikafa...
Nimeingia kwenye Matikiti, nimekutana na figisu kibao kwenye masoko ya Buguruni na Tandika.
Upumbavu tu... Forex ndio kila kitu.
Xaxa mkuu unapozungumzia biashara ya forex kua ndio ina pay ...mbona watu kubao wana lose money tena sana tu.
Biashara ya forex trading sio uhakika kwamba ukingia ndio utapiga pesa bablai
 
M
Hapo kwenye kuuza maji ukipata pikipiki yenye miguu mitatu ukaweka vzr kule nyuma unaweza beba hadi dumu 40...kwa bei ya dar dumu 500×40=20000 toa mafuta na gharama za maji ni kama max 10000...piga raound 5 kwa siku ndo utanielewa vzr...hiyo ya ngozi kweli kuna bro ndo biashara yake sijui wanafanyaje naitamani htr nilipo ngozi nyingi sn
Mkuu biashara ya ngozi bana ni kama magendo nsikufiche
Ila dizain flani ina pay naona kwa maan akwa uku kwetu hua wananunua sana wakenya
 
Uzi mzuri huu , dhahabu bahi inachimbwa sehemu gani?
 
Fursa isiyo na ma uzwazwa ni Forex Trading tu...
Ofisi yako ni Computer yako na Simu yako tu....
Hayo ma fursa sijui uanze kutafuta kiwanja, sijui leseni, wateja, mara majambazi wakuvamie.

Nilifungua Biashara ya Samaki Wabichi Tabora, ikafa...
Nimefungua banda la Chips Mwananyamala kwa Kopa, ikafa...
Nimeingia kwenye Matikiti, nimekutana na figisu kibao kwenye masoko ya Buguruni na Tandika.
Upumbavu tu... Forex ndio kila kitu.
Mkuu ushaanza kula matunda ya Forex nini?
 
Ndio, na mpaka nasema hvyo ujue Nina uhakika, but kama mwaniona muongo dumbukizeni hizo million 8-10 then mtuletee mrejesho

Maybe Kwa wale watakao lima maeneo yenye baridi ndo wanaweza kuambulia
Kusema watu wasifanye nadhani sio sahihi sana.Ebu weka details za kutosha na changamoto zipi ulikutana nazo katika kilimo hiki.Noted. Learn how to make mistake and how to manage risk.
 
Back
Top Bottom