Vijana tusipitwe na hizi fursa!!

Ndio, na mpaka nasema hvyo ujue Nina uhakika, but kama mwaniona muongo dumbukizeni hizo million 8-10 then mtuletee mrejesho

Maybe Kwa wale watakao lima maeneo yenye baridi ndo wanaweza kuambulia
Mkuu,
Naheshimu mtazamo wako ktk hili na sifahamu changamoto zako hasa(kama zipo ni vizuri uziweke hapa tubadilishane uzoefu) ila binafsi nafanya kilimo cha greenhouse, ninalima sasaivi tena Dodoma kwenye jua kali na inalipa sana, nilipanda nyanya mwezi May, mpaka sasa navuna japo ndio zinaishia.
Kuna vitabu na clip nyingi sana
U tube vyenye mwongozo mzuri sana. Wakenya wanafanya sana hii kitu kwasababu ya uhaba wa ardhi na kupunguza gharama kama maji, mbolea, madawa, vibarua nk
Kwakifupi ni kutumia eneo dogo kupata production kubwa.
 
Vizuri mkuu.. Hiyo ya ngoz ina maana unachukua mbichi, unakausha juani, halafu ndo unaenda kuuza?
 
Mkuu ubarikiwe sana ntumie Pm namba zako nikutafute, kuusu Biashara ya Ngozi huwa nasafirisha sana mazao kutoka vijijini kuja mijini sasa huwa nakutana na Ngozi Nyingi sana sikujua kama ni dili
Mkuu nipime unipe ujanja wa fursa ya kusafirisha mazao kutoka kijijini kwenda mjini
 
Hiyo namba tatu hiyo ichunguze vizuri biashara ya ngozi inasumbua kwa sasa baada ya kupigwa marufuku ngozi isitoke nje ya inchi
Ni kweli mkuu...ata huyu jamaa anaefanya biadhara ya ngozi hua naona anasafirisha usiku mara nyingi.
So ni kama magendo flani
 
mkuu, nami niruhusu nikuPM unipe ABCs kuhusu biashara ya mazao kutoa vijijini to mijini.

-Kaveli-
Mkuu naomba tujuzane kuhusiana na hii fursa pia ya kusafirisha mazo kutoka kijijini kuja mjini

Ni pm kama hutojali.
 
Mkuu mimi nakaa Himo .wakenya wananunua ssna hizi ngozi. Ila cjaifuatilia kwa undani kujua zaidi.
Kuna mzee mmoja ana godown lake hua anapokea ngozi na kusafirisha kenya
 
Mkuu mimi nakaa Himo .wakenya wananunua ssna hizi ngozi. Ila cjaifuatilia kwa undani kujua zaidi.
Kuna mzee mmoja ana godown lake hua anapokea ngozi na kusafirisha kenya
Fanya kufatilia basi bro uje utupe mrejesho
 
Mkuu napitia pitia apa Jf kdg
Sana n kuhusu hyo Forex trading.
Ila mkuu kama kuna fursa unaeza nielekeza ...ni vyema tukashtuana
 
Ndio, na mpaka nasema hvyo ujue Nina uhakika, but kama mwaniona muongo dumbukizeni hizo million 8-10 then mtuletee mrejesho

Maybe Kwa wale watakao lima maeneo yenye baridi ndo wanaweza kuambulia
greenhouse ukiisimamia vizuri na ukapata wataalam wa kukusaidia ushauri inalipa sana....uwe na taarifa sahihi mfano aina ya zao , aina ya udongo mzuri , n.k.........usikurupuke
 
mkuu... naomba funguka RoI ktk hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…