ukiwekeza ktk Greenhouse project...makadirio ya faida yakoje?Sijakuelewa mkuu.
Greenhouse mita 8*24
Mfano zao la nyanya
Inaingia miche 700
Ukiihudumia vizuri mche mmoja unatoa 16_24kg
Mazao ya greenhouse Mara nyingi yanauzika supermarket kwasababu hayapigwi dawa na matunda yanakuwa mwonekano mzuri sana, (bei ya supermarket iko juu kuliko mtaani)
Therefore kama 1kg ni sh 1500
kwa miche 700
Mche mmoja unatoa 16kg. (kima cha chini)
16*700*1500= 16,800,000 kwa miezi sita pekee.
ohh.. ok... ngoja niuvalie mawani...Mkuu rudia kusoma uzi wangu hapo nimeainisha tayar
Mbona nimeeleza vizuri tu mkuuUkiwa na laki saba unapata gram 10 halaf we unauza sh.ngapi?hebu tueleweshe
Xaxa mkuu unapozungumzia biashara ya forex kua ndio ina pay ...mbona watu kubao wana lose money tena sana tu.Fursa isiyo na ma uzwazwa ni Forex Trading tu...
Ofisi yako ni Computer yako na Simu yako tu....
Hayo ma fursa sijui uanze kutafuta kiwanja, sijui leseni, wateja, mara majambazi wakuvamie.
Nilifungua Biashara ya Samaki Wabichi Tabora, ikafa...
Nimefungua banda la Chips Mwananyamala kwa Kopa, ikafa...
Nimeingia kwenye Matikiti, nimekutana na figisu kibao kwenye masoko ya Buguruni na Tandika.
Upumbavu tu... Forex ndio kila kitu.
Mkuu biashara ya ngozi bana ni kama magendo nsikuficheHapo kwenye kuuza maji ukipata pikipiki yenye miguu mitatu ukaweka vzr kule nyuma unaweza beba hadi dumu 40...kwa bei ya dar dumu 500×40=20000 toa mafuta na gharama za maji ni kama max 10000...piga raound 5 kwa siku ndo utanielewa vzr...hiyo ya ngozi kweli kuna bro ndo biashara yake sijui wanafanyaje naitamani htr nilipo ngozi nyingi sn
Mkuu ushaanza kula matunda ya Forex nini?Fursa isiyo na ma uzwazwa ni Forex Trading tu...
Ofisi yako ni Computer yako na Simu yako tu....
Hayo ma fursa sijui uanze kutafuta kiwanja, sijui leseni, wateja, mara majambazi wakuvamie.
Nilifungua Biashara ya Samaki Wabichi Tabora, ikafa...
Nimefungua banda la Chips Mwananyamala kwa Kopa, ikafa...
Nimeingia kwenye Matikiti, nimekutana na figisu kibao kwenye masoko ya Buguruni na Tandika.
Upumbavu tu... Forex ndio kila kitu.
Mkuu ukilipata tuambiane, ninazo tani kibao ndaniMkuu shukran kwa mawazo yako mazuri ya kujenga Taifa.sasa mkuu mm natafuta soko la MBAAZI nitapata wapi kwa bei mzuri?
Kusema watu wasifanye nadhani sio sahihi sana.Ebu weka details za kutosha na changamoto zipi ulikutana nazo katika kilimo hiki.Noted. Learn how to make mistake and how to manage risk.Ndio, na mpaka nasema hvyo ujue Nina uhakika, but kama mwaniona muongo dumbukizeni hizo million 8-10 then mtuletee mrejesho
Maybe Kwa wale watakao lima maeneo yenye baridi ndo wanaweza kuambulia
Shukrani,Kusema watu wasifanye nadhani sio sahihi sana.Ebu weka details za kutosha na changamoto zipi ulikutana nazo katika kilimo hiki.Noted. Learn how to make mistake and how to manage risk.