Vijana tuwe makini. Mahusiano ya online ni sawa na kuuziwa mbuzi katika gunia

Vijana tuwe makini. Mahusiano ya online ni sawa na kuuziwa mbuzi katika gunia

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Heri ya mwaka wa 2021

Wadau mwaka jana panapo mwezi wa saba rafiki yangu mmoja alifunga pingu za maisha na msichana ambae walianzisha mahusiano kutokea mtandaoni IG, ila walisomana kidogo kama miezi 8 hivi.

Sasa jamaa kapatwa na janga ambalo linamchanganya psychological, yule mrembo aliyemuona kumbe ana tatizo la kiakili (mwezi mchanga) juzi kati wife wake akakutana na hiyo changamoto basi jamaa alijilaumu sana kwa maamuzi ya kukurupuka.

Basi nikasema nilete bandiko hapa vijana kabla hujakurupuka kuoa, make sure unamsoma mrembo wako.
 
Ni afadhali uuziwe mbuzi kwenye gunia, kuliko kuuziwa gunia bila mbuzi!
 
Acha kuchanganya mambo, issue ni kukutana online au kutokujua vizuri hali ya afya matatizo etc ili awe tayari ku accomodate? Miezi 8 mingi sana uchumba! Mbona watu wanakutana harusini wanaanza uchumba? Unajua kwenye sociology sehemu ambapo mahusiano yaweza kuanzia? Shuleni msibani sokoni kanisani etc cha msingi mkishakutana kueni wazi kila mmoja amfahamu mwenzie kwa ndani! Usikariri mambo karne hii!
 
Acha kuchanganya mambo, issue ni kukutana online au kutokujua vizuri hali ya afya matatizo etc ili awe tayari ku accomodate? Miezi 8 mingi sana uchumba! Mbona watu wanakutana harusini wanaanza uchumba? Unajua kwenye sociology sehemu ambapo mahusiano yaweza kuanzia? Shuleni msibani sokoni kanisani etc cha msingi mkishakutana kueni wazi kila mmoja amfahamu mwenzie kwa ndani! Usikariri mambo karne hii!
Mwaikibaki online dating ina changamoto ikiwemo iliyo mkuta swaiba wangu
 
kwa hiyo mwenye kifafa hawezi oa au olewa mbona mimi rafiki yangu ana kifafa lakini ameoa...tatizo hapo na usiri kwa huyo mwanamke hakutaka kumwambia ukweli kabla ya ndoa hilo ndio kosa lakini hilo tatizo akiamua linatatibika
 
Acha kuchanganya mambo, issue ni kukutana online au kutokujua vizuri hali ya afya matatizo etc ili awe tayari ku accomodate? Miezi 8 mingi sana uchumba! Mbona watu wanakutana harusini wanaanza uchumba? Unajua kwenye sociology sehemu ambapo mahusiano yaweza kuanzia? Shuleni msibani sokoni kanisani etc cha msingi mkishakutana kueni wazi kila mmoja amfahamu mwenzie kwa ndani! Usikariri mambo karne hii!
Ah wee miezi nane michache sana...huwezi kuwa umwgundua mengi ya muhimu.
Wanawake wenyewe hawa wanavyotaka ndoa unadhani watafunguka ukweli wote hasa mambo ya magonjwa ya kurithi? Cha msingi mambo hayo inabidi ufanye utafiti mwenyewe usichukulie maneno ya mrembo mazima mazima
 
Kuishi na Mwenza mwenzi Mchanga ni hatari sana kwa usalama wa familia....Siku Dishi likicheza unaweza akakutia kisu cha tumbo au akachinja watoto.
 
Kwani akiwa na tatizo la akili ndo asiolewe?Je,mke wako akiugua baadaye utamuacha?
Heri ya mwaka wa 2021
Wadau mwaka jana panapo mwezi wa saba rafiki yangu mmoja alifunga pingu za maisha na msichana ambae walianzisha mahusiano kutokea mtandaoni IG, ila walisomana kidogo kama miezi 8 hivi.

Sasa jamaa kapatwa na janga ambalo linamchanganya psychological, yule mrembo aliyemuona kumbe ana tatizo la kiakili (mwezi mchanga) juzi kati wife wake akakutana na hiyo changamoto basi jamaa alijilaumu sana kwa maamuzi ya kukurupuka.

Basi nikasema nilete bandiko hapa vijana kabla hujakurupuka kuoa, make sure unamsoma mrembo wako.
 
Heri ya mwaka wa 2021
Wadau mwaka jana panapo mwezi wa saba rafiki yangu mmoja alifunga pingu za maisha na msichana ambae walianzisha mahusiano kutokea mtandaoni IG, ila walisomana kidogo kama miezi 8 hivi.

Sasa jamaa kapatwa na janga ambalo linamchanganya psychological, yule mrembo aliyemuona kumbe ana tatizo la kiakili (mwezi mchanga) juzi kati wife wake akakutana na hiyo changamoto basi jamaa alijilaumu sana kwa maamuzi ya kukurupuka.

Basi nikasema nilete bandiko hapa vijana kabla hujakurupuka kuoa, make sure unamsoma mrembo wako.
Mleta Mada. Hili jambo kama limekufurahisha kimoyo moyo? Badala ya kumuombea unaleta kejeli? Ujue matatizi ya Dunia ni duara leo ni Yeye kesho ni Wew... Gongo uliokunywa mkesha naona bado hayjatoka mwilini.
 
Back
Top Bottom