Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Hapa duniani pesa ipo nyingi sanana inatafuta walaji ama watumiaji.
Ndani na nje ya nchi kuna wadau wengi sana (watu binafsi /NGOs /Makampuni /Foundations /Serikali) ambao wana hamu na chachu ya kusaidia makundi mbalimbali ya kijamii mfano Vijana Wamama Wazee na makundi mengine yenye lengo la kuanzisha miradi mbalimbali ya usajiamali inayosaidia kujipatia kipato.
Kuna mikopo na misaada midogo na ya kati mingi sana kwa watu (wawili /watatu) walioungana na kusajiri kikundi au NGO au Kampuni au taasisi yoyote kwa masharti mepesi na nafuu kabisa!
Kuna Foundations nyingi sana duniani jamani zinataka kuwasaidia watu kuondokana na umaskini. Ila sasa Watanzania walio wengi hawapendi kuwa serious au kujisajiri na kufuata maelekezo kwa umakini.
Mfano wa projects ambazo kupata hela ni rahisi zaidi ni kama ifuatavyo:-
1. Biashara na Kilimo cha mbogamboga na matunda
2. Biashara na Kilimo cha mazao ya nafaka
3. Ufugaji wa kuku wa mayai na nyama
4. Ufugaji wa samaki
5. Kutotoresha vifaranga
6. Ufugaji wa mbuzi na ng'ombe wa maziwa etc!
Miradi ipo mingi zaidi. Tuunganeni na tufuate maelekezo mazri ya taasisi au watu binafsi ambao wana chachu ya kusaidia watu kuondokana na umaskini!
Tutumie simu zetu za viganjani kutafuta fursa za 'financial support' ndani na nje ya nchi.
Tuwe na 'very burning and convicing ideas'.
Mm mpaka sasa nimeshapata taasisi mbili tofauti ambazo moja imenipatia Euro 3'000 na nyingine Japanese Yen 200'000. Nafuga kuku wa kienyeji wa nyama na wa kisasa wa nyama.
Asanteni sana.
Ndani na nje ya nchi kuna wadau wengi sana (watu binafsi /NGOs /Makampuni /Foundations /Serikali) ambao wana hamu na chachu ya kusaidia makundi mbalimbali ya kijamii mfano Vijana Wamama Wazee na makundi mengine yenye lengo la kuanzisha miradi mbalimbali ya usajiamali inayosaidia kujipatia kipato.
Kuna mikopo na misaada midogo na ya kati mingi sana kwa watu (wawili /watatu) walioungana na kusajiri kikundi au NGO au Kampuni au taasisi yoyote kwa masharti mepesi na nafuu kabisa!
Kuna Foundations nyingi sana duniani jamani zinataka kuwasaidia watu kuondokana na umaskini. Ila sasa Watanzania walio wengi hawapendi kuwa serious au kujisajiri na kufuata maelekezo kwa umakini.
Mfano wa projects ambazo kupata hela ni rahisi zaidi ni kama ifuatavyo:-
1. Biashara na Kilimo cha mbogamboga na matunda
2. Biashara na Kilimo cha mazao ya nafaka
3. Ufugaji wa kuku wa mayai na nyama
4. Ufugaji wa samaki
5. Kutotoresha vifaranga
6. Ufugaji wa mbuzi na ng'ombe wa maziwa etc!
Miradi ipo mingi zaidi. Tuunganeni na tufuate maelekezo mazri ya taasisi au watu binafsi ambao wana chachu ya kusaidia watu kuondokana na umaskini!
Tutumie simu zetu za viganjani kutafuta fursa za 'financial support' ndani na nje ya nchi.
Tuwe na 'very burning and convicing ideas'.
Mm mpaka sasa nimeshapata taasisi mbili tofauti ambazo moja imenipatia Euro 3'000 na nyingine Japanese Yen 200'000. Nafuga kuku wa kienyeji wa nyama na wa kisasa wa nyama.
Asanteni sana.