A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,135
- 1,574
Jambo la msingi hapa tupeane mawazo ya namna ambavyo tunaweza jishuhulisha tukapata angalau riziki
Ila tatizo la walio wengi wanapenda wafanikiwe wenyewe hapo ndipo penye changamoto
Ushauri wangu tupeane mawazo ya jinsi ya kujikwamua naamini hata kwa mtaji wa shilingi elfu 10 unaweza fanya jambo endapo tuu utakuwa na wazo sahihi la nino chakufanya
Ila tatizo la walio wengi wanapenda wafanikiwe wenyewe hapo ndipo penye changamoto
Ushauri wangu tupeane mawazo ya jinsi ya kujikwamua naamini hata kwa mtaji wa shilingi elfu 10 unaweza fanya jambo endapo tuu utakuwa na wazo sahihi la nino chakufanya