Vijana unganeni mjisajili mpate misaada na mikopo kirahisi mfanye miradi ya ujasiriamali mpate pesa

Vijana unganeni mjisajili mpate misaada na mikopo kirahisi mfanye miradi ya ujasiriamali mpate pesa

Jambo la msingi hapa tupeane mawazo ya namna ambavyo tunaweza jishuhulisha tukapata angalau riziki
Ila tatizo la walio wengi wanapenda wafanikiwe wenyewe hapo ndipo penye changamoto
Ushauri wangu tupeane mawazo ya jinsi ya kujikwamua naamini hata kwa mtaji wa shilingi elfu 10 unaweza fanya jambo endapo tuu utakuwa na wazo sahihi la nino chakufanya
 
Hapa duniani pesa ipo nyingi sanana inatafuta walaji ama watumiaji.

Ndani na nje ya nchi kuna wadau wengi sana (watu binafsi /NGOs /Makampuni /Foundations /Serikali) ambao wana hamu na chachu ya kusaidia makundi mbalimbali ya kijamii mfano Vijana Wamama Wazee na makundi mengine yenye lengo la kuanzisha miradi mbalimbali ya usajiamali inayosaidia kujipatia kipato.

Kuna mikopo na misaada midogo na ya kati mingi sana kwa watu (wawili /watatu) walioungana na kusajiri kikundi au NGO au Kampuni au taasisi yoyote kwa masharti mepesi na nafuu kabisa!

Kuna Foundations nyingi sana duniani jamani zinataka kuwasaidia watu kuondokana na umaskini. Ila sasa Watanzania walio wengi hawapendi kuwa serious au kujisajiri na kufuata maelekezo kwa umakini.

Mfano wa projects ambazo kupata hela ni rahisi zaidi ni kama ifuatavyo:-

1. Biashara na Kilimo cha mbogamboga na matunda
2. Biashara na Kilimo cha mazao ya nafaka
3. Ufugaji wa kuku wa mayai na nyama
4. Ufugaji wa samaki
5. Kutotoresha vifaranga
6. Ufugaji wa mbuzi na ng'ombe wa maziwa etc!

Miradi ipo mingi zaidi. Tuunganeni na tufuate maelekezo mazri ya taasisi au watu binafsi ambao wana chachu ya kusaidia watu kuondokana na umaskini!

Tutumie simu zetu za viganjani kutafuta fursa za 'financial support' ndani na nje ya nchi.

Tuwe na 'very burning and convicing ideas'.

Mm mpaka sasa nimeshapata taasisi mbili tofauti ambazo moja imenipatia Euro 3'000 na nyingine Japanese Yen 200'000. Nafuga kuku wa kienyeji wa nyama na wa kisasa wa nyama.


Asanteni sana.
Huu uliofanya nao ni ubinafsi, hayo uliyoyaeleza wengi wanayajua...tatizo ni KUJUA donors hao ndiyo tabu, mtu akipata chanzo anakaa kimyaaaa ili aendelee kuvuta yeye, anasahau kwamba pesa hizo ziko nyingi na yeye hawezi kuzimaliza kwa kupewa milioni sita! Share hapa, funding sources watu waandike. Na vijana kuweni serious, kuomba vigranta vidogovidogo ni ngumu sana kukupeleka mpali kwa wakati! Hivyo vijimilioni kumi ngai hata mtu kwanguvu zake tu anaweza kuvirize ndani ya mwaka!
 
Mkuu mng'ato hizi ni aina za upigaji tu, hapa anaandaa mazingira ya kushawishi watu then mwisho wa picha awaachie maumivu for good.
Aisee ni kweli kabisa mkuu wangu kuna kila dalili ya utapeli hapo mkuu.
 
Mimi naomba kuongezea kwa ufupi sana "pesa IPO" vijana undeni vikundi tuingie duniani kuchacharika,...pesa haiwezi kukufuata nyumbani eti "rizki kitako" lazima uitafute na kuitafuta ni kufanya KAZI kwa bidii na kwa juhudi lazima tukubali kuchukua hatua kuuepuka umasikini...

Mkuu mm mumu nakuelewa mnoooo!!!!
Tatizo mtu anatoa ushari alafu anaficha baadhi ya taarifa. Huo ni uhuni kama sio kutafuta njia za kuibia watu
 
Naona mleta uzi hana hamu, kapotea na kupotea
 
Hapa duniani pesa ipo nyingi sanana inatafuta walaji ama watumiaji.

Ndani na nje ya nchi kuna wadau wengi sana (watu binafsi /NGOs /Makampuni /Foundations /Serikali) ambao wana hamu na chachu ya kusaidia makundi mbalimbali ya kijamii mfano Vijana Wamama Wazee na makundi mengine yenye lengo la kuanzisha miradi mbalimbali ya usajiamali inayosaidia kujipatia kipato.

Kuna mikopo na misaada midogo na ya kati mingi sana kwa watu (wawili /watatu) walioungana na kusajiri kikundi au NGO au Kampuni au taasisi yoyote kwa masharti mepesi na nafuu kabisa!

Kuna Foundations nyingi sana duniani jamani zinataka kuwasaidia watu kuondokana na umaskini. Ila sasa Watanzania walio wengi hawapendi kuwa serious au kujisajiri na kufuata maelekezo kwa umakini.

Mfano wa projects ambazo kupata hela ni rahisi zaidi ni kama ifuatavyo:-

1. Biashara na Kilimo cha mbogamboga na matunda
2. Biashara na Kilimo cha mazao ya nafaka
3. Ufugaji wa kuku wa mayai na nyama
4. Ufugaji wa samaki
5. Kutotoresha vifaranga
6. Ufugaji wa mbuzi na ng'ombe wa maziwa etc!

Miradi ipo mingi zaidi. Tuunganeni na tufuate maelekezo mazri ya taasisi au watu binafsi ambao wana chachu ya kusaidia watu kuondokana na umaskini!

Tutumie simu zetu za viganjani kutafuta fursa za 'financial support' ndani na nje ya nchi.

Tuwe na 'very burning and convicing ideas'.

Mm mpaka sasa nimeshapata taasisi mbili tofauti ambazo moja imenipatia Euro 3'000 na nyingine Japanese Yen 200'000. Nafuga kuku wa kienyeji wa nyama na wa kisasa wa nyama.


Asanteni sana.
Mfano huu
20180514_214223.jpg
 
Back
Top Bottom