Vijana wa ccm ndo wapinga maendeleo,watu waliokosa uzalendo .

BAVICHA na yule puppet wa UFIPA mmesahau mlikuwa pinga pinga wa miradi ya maendeleo
 
Nimeamini tulikua tumepandikizwa roho za kichawi, za kutaka wote tuwe fukara.

Tushukuru Mungu kwa kutuletea mama mkombozi wetu.
tulikuwa brain washed tuone umaskin (unyonge) kuwa ni sifa ya kutambia.
wakwaamisha watu kuwa matajiri au mtu aliefanikiwa ni fisadi, mwizi,mpiga dili, ana ushirikano na mabeberu.

tungeenda 10 yrs kizazi cha ajab sana kingetokea huko mbele kwa mentality hii
 
Mzee ali ambukiza hawa vijana roho mbaya sana sana na hawa vijana wengi ndio majizi wenyewe waporaji wa mitaji ya wafanyabiashara!
Wamefanya biashara nyingi sana zikafungwa!
 
Hiko kazazi kibaya mbona tayari kipo kimejaa tele kule Lumumba kwa hisani ya hayati jpm?

Labda useme kingesambaa
Wanajipanga namna watakavyoendana na mdundo wa Madame President Mh.Samia Suluhu Hassan.Anawapiga mule mule kwenye mshono wa kusifia uharamia wa Jiwe.
Wanatafuta pa kukatia kona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…