Zanzibar 2020 Vijana wa CCM wamevamia ofisi za ACT-Wazalendo na kuchana bendera kisha wakabandika picha za Mwinyi

Hahahaaaaa
 
Hao ni ACT Wazalendo wenyewe. Hata CHADEMA walichoma ofisi yao usiku wakasingizia CCM. Waliofanya uhalifu huo Walipokamatwa wakakutwa ni CHADEMA. Viongozi wa CHADEMA wako kimya hadi leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…