kutangaza nia,ni haki ya mtu kikatiba pia kura ya maoni ndio kitakacho amua nani asimame au la,ikumbukwe 2010 kuna baadhi ya majimbo yalipita bila kupingwa hivyo hao wanaotangaza nia ni msaada mkubwa kwani hata kama kura za maoni hawakupita basi watagombea udiwani.
Hivyo mafisadi wa CCM watakuwa ktk wakati mgumu.
Hivyo mafisadi wa CCM watakuwa ktk wakati mgumu.