Maana ya kamari ni kwamba wengi wakose mmoja anufaike, sasa ww utasemaje kuwa huo ni mtaji? Huoni unajijengea mazingira ya kuishi maisha ya kubahatisha, mwisho wa siku unalemaa .acha kuongea ujinga ww watu tunalisha familia kwa kutegemea betting ...mm nilianza na mtaji wa laki moja kwa mwez naingiza laki tisa ninakuwa nacheza kwa kuwapa watu 1X yaan wa nyumban ashinde au adraw au X2 yaan wa ugenini aashinde au draw sasa kwasiku unakuta unaingiza 50000 maisha yanaenda
Namshukuru mungu nimeacha japo ilikuwa ngumu.pale kula bahati kuliwa ni 100 asilimia.kuna siku niliweka laki na,nusu nikishinda napata laki 9.watford aka droo.nilivurugikaa
nisamehe mkuu kwa ujinga wangu,ingekuwa jambo la muhimu kwa sababu umekwishaona faida yake ungechukuwa na wanao ukawafundisha ili kuongeza kipato cha family
Usiombe yakukute.inategemea bahati zaid kula.Alaf unakuwa mjinga wa kufikir mambo menginehongera mkuu ni Addiction mbaya sana .. hawajui tu
Umebadilisha lugha tu, kama ulikuwa haujui basi sasa wajua!
ukisema bahati nasibu unazungumzia lottery... vijana wa tz , hasa DAR wanachofanya ni gambling...
Umebadilisha lugha tu, kama ulikuwa haujui basi sasa wajua!
Mkuu ile kitu ina hela balaa...lakini uwe na bahati, binafsi sijawahi kulenga nikakosa.Aisee na wewe ni mdau.?
Mkuu ile kitu ina hela balaa...lakini uwe na bahati, binafsi sijawahi kulenga nikakosa.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha usirudi hapa lolnisamehe mkuu kwa ujinga wangu,ingekuwa jambo la muhimu kwa sababu umekwishaona faida yake ungechukuwa na wanao ukawafundisha ili kuongeza kipato cha family
Juz tu nimetoka kula million tano kwa kuweka miatano mwez wa kwanza nimekula lak tatu na sabini kwa jero mwez wa kumi na moja nimekula laki mbili na 77 kwa buku unasemaje hapoWiki iliyopita nilifika hapo mjini nikitokea kwetu huku Namtumbo,
miaka kadhaa nilikuwa sijafika hapo mjini, ukweli vingi vimebadilika sana ,barabara majengo ,marefu hata usafi baaadhi ya maeneo ,lakini joto mji huo naona limezidi sana
lakini kuna hili moja limenishangaza sana hapo mjini,niliona sehemu zimepambwa na watu wanaingia na kutoka ,wanawake wanaume nikataka kujua kuna jambo gani hasa linawalowashugulisha vijana wenzangu?Dah kumbe vijana wanaingia kucheza kamari wao wanaita kubet,jamani vijana wameathirika mno na kitu hiki ,
kwa wiki moja niliyokaa hapo mjini nimegundua sehemu nyingi sana mjini hapo kumefunguliwa kamari za namna hiyo na vijana wameathirika sana na hii kitu wengi wao wamegeuza hizo ndio ajira zao za kila siku,
niwaombe vijana wenzangu hiyo sio ajira rasmi na nimchezo mbaya kabisa ambao una faida chache na hasara nyingi mno,
hebu kama maisha magumu hapo mjini njoo hata huku kuna mashamba ya korosho mengi tu tutawapa mlime .
nawasilisha bandugu