Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Kuna kiwanda gani au shamba gani kubwa unalolijua wewe ambalo limetoa tangazo la Kazi?alafu hawa ndio wanakuja kupiga kelele... pesa inashuka thamani, maisha magumu .... kumbe kazi hawafanyi uzalishaji unasimama wanashinda vijiweni kucheza kamari