Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mimi mlengaji kaka nimewaonaMk
Mkuu wewe ulibahatika hata kuwaona kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mlengaji kaka nimewaonaMk
Mkuu wewe ulibahatika hata kuwaona kidogo
HapanaMbona Kama niangushage sambi sako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]
😅😅
Na sisi vijana wa zamani ilikuwa ni nadra sana kutukuta tuna vitambi.
Mnaenda boogie Silver Sands na Peugeot yenu 404 staff gear[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]
Tena ni MASANAMU ya kuchonga.Hawa mabinti siku hizi huwapati popote.. Labda kwenye makumbusho ya taifa View attachment 1215507
Nguvu tupuNa sisi vijana wa zamani ilikuwa ni nadra sana kutukuta tuna vitambi.
Hawa mabinti siku hizi huwapati popote.. Labda kwenye makumbusho ya taifa View attachment 1215507
Tatu kasoroHuyo wa kwana kushoto bhana....
Ohh yeahTatu kasoro
Hahahahaaa...I wish niweke picha yangu ya Wakati huo Pohamba Pohamba kweli
[emoji23][emoji23][emoji23] Dingi jeuriDingi mmoja alimwambia mtoto wake na yeye anaanza kuvaa kata K kama ndiyo style mpya. Mtoto aliona Norma dingi ndani ya kata K aliacha mwenyewe
Kwanini Mshana Jr ...?Hawa mabinti siku hizi huwapati popote.. Labda kwenye makumbusho ya taifa View attachment 1215507
Mkuu hizi siyo picha za kuchora kweli?Hii enzi haitakaa irudi View attachment 1215544