Vijana wa Kitanzania tuanzishe chama kipya chenye vijana wenye malengo na msimamo wa kuiona nchi ikisonga mbele

Vijana wa Kitanzania tuanzishe chama kipya chenye vijana wenye malengo na msimamo wa kuiona nchi ikisonga mbele

A Peculiar people

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
612
Reaction score
773
Habari za wakati huu ndugu zangu..

Naamini hoja hii inakuhusu kama wewe ni kijana wa Kitanzania unaependa maendeleo, haki na amani..

Ningependa kuwasilisha wazo kwenu vijana wenzangu wenye kutamani Tanzania iliyo bora.

Kwa muda mrefu tumekuwa tukitaka mabadiliko ya hapa na pale katika nchi yetu nzuri hii ya Tanzania. Na mara zote tumekuwa tukiweka imani yetu kwa viongozi wa siasa waliopo katika vyama vya siasa vilivyopo nchi katika kutuletea maendeleo, amani na haki na kwa kiasi walio weza kufanya walifanya sehemu yao na wengine waljisahau na wengi walipewa nafasi ambazo hawa kuleta badiliko lolote.

Kwa maoni yangu naona kama vijana bado tunayo nafasi ya kurekebisha na kuitengeneza Tanzania tunayoipenda naamini kabisa wapo vijana bora ambao pengine hawajapata sehemu ya kujitokeza na kufanya mabadiliko ya sta iliyo nchi yetu.

Hivyo basi vijana wenzangu tuchukue nafasi hii ya muda. Tuanzishe chama kipya chenye vijana wenye malengo na msimamo wa kuiona nchi hii iki songa mbele. Maana vyama vingi vinavyoendeshwa kwasasa ni kama vina mabaki ya CCM.

Tuanzishe kitu chenye mlengo sio wakukipinga chama tawala bali chama chenye umoja, maono na mikakati iliyo hai ya kuweza kuisaidia nchi kutoka katika hali iliyopo kwa sasa.. Nadhani mnaweza mkaji tathimini na kuona kama hapa kweli kama nchi ndipo tu na staili kuwepo.

Na wasilisha hoja kama kijana mwenzenu.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu..

Naamini hoja hii inakuhusu kama wewe ni kijana wa Kitanzania unaependa maendeleo, haki na amani..

Ningependa kuwasilisha wazo kwenu vijana wenzangu wenye kutamani Tanzania iliyo bora..

Kwa muda mrefu tumekuwa tukitaka mabadiliko ya hapa na pale katika nchi yetu nzuri hii ya Tanzania. Na mara zote tumekuwa tukiweka imani yetu kwa viongozi wa siasa waliopo katika vyama vya siasa vilivyopo nchi katika kutuletea maendeleo, amani na haki na kwa kiasi walio weza kufanya walifanya sehemu yao na wengine waljisahau na wengi walipewa nafasi ambazo hawa kuleta badiliko lolote.

Kwa maoni yangu naona kama vijana bado tunayo nafasi ya kurekebisha na kuitengeneza Tanzania tunayoipenda naamini kabisa wapo vijana bora ambao pengine hawajapata sehemu ya kujitokeza na kufanya mabadiliko ya sta iliyo nchi yetu..

Hivyo basi vijana wenzangu tuchukue nafasi hii ya muda. Tuanzishe chama kipya chenye vijana wenye malengo na msimamo wa kuiona nchi hii iki songa mbele. Maana vyama vingi vinavyoendeshwa kwasasa ni kama vina mabaki ya CCM..

Tuanzishe kitu chenye mlengo sio wakukipinga chama tawala bali chama chenye umoja, maono na mikakati iliyo hai ya kuweza kuisaidia nchi kutoka katika hali iliyopo kwa sasa.. Nadhani mnaweza mkaji tathimini na kuona kama hapa kweli kama nchi ndipo tu na staili kuwepo..

Na wasilisha hoja kama kijana mwenzenu
Vijana tukatae CCM na mambo yake yote!
 
Habari za wakati huu ndugu zangu..

Naamini hoja hii inakuhusu kama wewe ni kijana wa Kitanzania unaependa maendeleo, haki na amani..

Ningependa kuwasilisha wazo kwenu vijana wenzangu wenye kutamani Tanzania iliyo bora..

Kwa muda mrefu tumekuwa tukitaka mabadiliko ya hapa na pale katika nchi yetu nzuri hii ya Tanzania. Na mara zote tumekuwa tukiweka imani yetu kwa viongozi wa siasa waliopo katika vyama vya siasa vilivyopo nchi katika kutuletea maendeleo, amani na haki na kwa kiasi walio weza kufanya walifanya sehemu yao na wengine waljisahau na wengi walipewa nafasi ambazo hawa kuleta badiliko lolote.

Kwa maoni yangu naona kama vijana bado tunayo nafasi ya kurekebisha na kuitengeneza Tanzania tunayoipenda naamini kabisa wapo vijana bora ambao pengine hawajapata sehemu ya kujitokeza na kufanya mabadiliko ya sta iliyo nchi yetu..

Hivyo basi vijana wenzangu tuchukue nafasi hii ya muda. Tuanzishe chama kipya chenye vijana wenye malengo na msimamo wa kuiona nchi hii iki songa mbele. Maana vyama vingi vinavyoendeshwa kwasasa ni kama vina mabaki ya CCM..

Tuanzishe kitu chenye mlengo sio wakukipinga chama tawala bali chama chenye umoja, maono na mikakati iliyo hai ya kuweza kuisaidia nchi kutoka katika hali iliyopo kwa sasa.. Nadhani mnaweza mkaji tathimini na kuona kama hapa kweli kama nchi ndipo tu na staili kuwepo..

Na wasilisha hoja kama kijana mwenzenu
Utauwawa au kupotezwa utaambiwa hauna malezi ya pande mbili utaambiwa wewe ni mtu unaye fifisha jitihada za mama Samia/ utapewa kesi ya ugaidi ama utakatishaji pesa / uhujumu uchumi ama ubakaji au madawa ya kulevya..

Utaambiwa CCM ni chama dume ( utaambiwa hii generation yetu tutakufa Ila CCM haito toka madarakani)
Utaambiwa KATIBA MPYA ni kula na kushiba.

Ukitembelea makaburini Kuna vitu vikumbuke na amini Kuna mawazo na ndoto nyingi sanaa zimelala pale makaburini .

Asante Sanaa mkuu kwa kuweka hii Chachu mioyoni mwetu.

Aluta continua.
 
Utauwawa au kupotezwa utaambiwa hauna malezi ya pande mbili utaambiwa wewe ni mtu unaye fifisha jitihada za mama Samia/ utapewa kesi ya ugaidi ama utakatishaji pesa / uhujumu uchumi ama ubakaji au madawa ya kulevya..

Utaambiwa CCM ni chama dume ( utaambiwa hii generation yetu tutakufa Ila CCM haito toka madarakani)
Utaambiwa KATIBA MPYA ni kula na kushiba.

Ukitembelea makaburini Kuna vitu vikumbuke na amini Kuna mawazo na ndoto nyingi sanaa zimelala pale makaburini .

Asante Sanaa mkuu kwa kuweka hii Chachu mioyoni mwetu.

Aluta continua.
Umesema kweli.. Na haya mambo tumekuwa t ukilishwa kwa muda mrefu kiasi tumefika kuamini hivyo
 
Wewe kweli ni kijana wa tanzania, sasa kwanini ujiite 'Backdoor'?

Wazo zuri, ungetuambia na hatua za kufikia hilo lengo au umefanya brainstorming tu?
Mkakati wa chama sio wa mtu mmoja ndugu yangu.. Binafsi ninayo kadha ya kueleza lakini kwa kuwa nimetoa hoja nahitaji kufahamu kama imekubalika au laa na nani ambaye yupo tayari..

Back door ni pen name tu
 
Kama Chadema ilivyoanza, ilikuwa ya vijana, sasa iko wapi? Naona tu vijana mkapate mafunzo Kenya. Ila kabla ya kwenda weka kitabu cha kutosha.
 
Kwahio mkizeeka mtahama Chama au ? Anyway Nilishasema kitambo.....

 
Tafuta kwanza hela mwenye njaa hana msimamo
 
Back
Top Bottom