Vijana wa Kitanzania tuanzishe chama kipya chenye vijana wenye malengo na msimamo wa kuiona nchi ikisonga mbele

Achana na mambo ya siasa....we msapoti Rais bila kujali chama chake.

Karibu,

~ Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais (President Supporters Network) ~
 
Mimi nashauri turudi kwenye chama kimoja. Twende tukagombee nafasi kwenye chama kimoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…