Vijana wa kitanzania tupunguze na kuacha haya mambo Kwa sisi tunao jitafuta

Vijana wa kitanzania tupunguze na kuacha haya mambo Kwa sisi tunao jitafuta

hauleibrahim

Senior Member
Joined
May 17, 2024
Posts
183
Reaction score
125
Vijana wengi tz tunajitafuta huku tukiwa hatujui ni lini tutajipata kuwa na maisha Bora ya Leo n kesho za watoto wetu.

Viko vitu Kwa vijana wengi huvifanya kama njia za kuona watafanikiwa zaidi wao baadhi kumbe ndio wanaji tokotesha jumla jumla.

Vitu vifuatavyo tukiacha vijana wa kitz tutafanikiwa haraka.

1.ubinafsi wa fursa. Wako vijana wanajua masoko wanajua fursa za ufugaji na hata kilimo ila wao wanakuwa wa binafsi kuwapa connection wenzao walio katika sekta hizo hizo.ukiuliza Kwa nn wanahofia kuwapa fursa wenzao ni umimi na roho mbaya tu ya kuto kupenda kuona wenzako wakikuzidi au kupiga hatua zaidi.

2.Kukosa uaminifu; vijana wengi wa kitz wanakosa uaminifu iwe kwenye eneo la kazi au eneo la fedha ni wachache wasio na ukosefu wa uaminifu.wengi wa vijana uaminifu wetu umekuwa ni mdogo sana hasa kwenye maeneo ya kazi mpka eneo la kifedha.

3.chuki zisizo na msingi :wako vijana wa kitz baadhi ukiwa nao kwenye kazi wako tayari kuona ukifeli kuliko ukifanikiwa hasa kama wew ni mchapa kazi hodari na muaminifu pia kazini kwenu wao huona ww ni kihelehele Cha kazi

4.umimi:umimi unatuumiza sana vijana tunao jitafuta Leo mtu anaweza kula mkate wako akaona Yuko sahihi kabisa kula kitu ambacho hakupaswa kukila ila anafanya hivyo kujijali yeye bila kutazama wengine wana hali gani na uhitaji kiasi gani watokako pia

Vijana tukiacha haya tukapendana na kushirikishana fulsa za kazi masoko wengi tutafanikiwa haraka ila tukiendekeza haya kama ni uteja wetu wa kudumu kamwe tutajitafuta sana na hatuto jipata mpka tunakufa.
 
Vijana wengi tz tunajitafuta huku tukiwa hatujui ni lini tutajipata kuwa na maisha Bora ya Leo n kesho za watoto wetu.

Viko vitu Kwa vijana wengi huvifanya kama njia za kuona watafanikiwa zaidi wao baadhi kumbe ndio wanaji tokotesha jumla jumla.

Vitu vifuatavyo tukiacha vijana wa kitz tutafanikiwa haraka.

1.ubinafsi wa fursa. Wako vijana wanajua masoko wanajua fursa za ufugaji na hata kilimo ila wao wanakuwa wa binafsi kuwapa connection wenzao walio katika sekta hizo hizo.ukiuliza Kwa nn wanahofia kuwapa fursa wenzao ni umimi na roho mbaya tu ya kuto kupenda kuona wenzako wakikuzidi au kupiga hatua zaidi.

2.Kukosa uaminifu; vijana wengi wa kitz wanakosa uaminifu iwe kwenye eneo la kazi au eneo la fedha ni wachache wasio na ukosefu wa uaminifu.wengi wa vijana uaminifu wetu umekuwa ni mdogo sana hasa kwenye maeneo ya kazi mpka eneo la kifedha.

3.chuki zisizo na msingi :wako vijana wa kitz baadhi ukiwa nao kwenye kazi wako tayari kuona ukifeli kuliko ukifanikiwa hasa kama wew ni mchapa kazi hodari na muaminifu pia kazini kwenu wao huona ww ni kihelehele Cha kazi

4.umimi:umimi unatuumiza sana vijana tunao jitafuta Leo mtu anaweza kula mkate wako akaona Yuko sahihi kabisa kula kitu ambacho hakupaswa kukila ila anafanya hivyo kujijali yeye bila kutazama wengine wana hali gani na uhitaji kiasi gani watokako pia

Vijana tukiacha haya tukapendana na kushirikishana fulsa za kazi masoko wengi tutafanikiwa haraka ila tukiendekeza haya kama ni uteja wetu wa kudumu kamwe tutajitafuta sana na hatuto jipata mpka tunakufa.
4 .Kujari thamani ya muda
5. Usomaji wa vitabu vinavyo husu mafanikio
6 .kushirikiana
7.kutoendekeza mapenzi
 
Kushirikiana kugumu sana msikilize mulokozi utapata jibu.kusoma vitabu sahihi ila ungeongezea kusoma na kutenda pia ingekuwa na afya maana kusoma bila kutendea kazi ni kazi bure.kujari thamani y muda sahihi.kutokuendekeza mapenzi ni 50 Kwa 50 sababu yapo mapenzi yenye tija na yasiyo na tija sijui umelenga mapenzi yapi.
4 .Kujari thamani ya muda
5. Usomaji wa vitabu vinavyo husu mafanikio
6 .kushirikiana
7.kutoendekeza mapenzi
 
Ha

Hapa nasemea kushirikiana katika fursa kwamfano kijana ana wazo lako lakini hana fedha ashirikiane na kijana ambae hana wazo lakini anahela sio kivingine
Kwa point hiyo uko sahihi ila Kuna shida napenda umsikilize mlokozi YouTube Kuna elimu utaipata Kwa point usemayo
 
🤣😂😂ndo tz mkuu wajuaji kupitia mitandao ni wengi kuliko walio ishi kwenye vitendo
Usisahau kuwaambia vijana wa Tz waache

●Uvivu maeneo ya kazi

●Ujuaji mwingi. Wakae wakubali kuelekezwa. Kuna siku nilitoa elimu ya kilimo fulani nikashangaa vijana wanacriticize halafu hawajawahi hata kulima bustani ya mbogamboga
 
Usisahau kuwaambia vijana wa Tz waache

●Uvivu maeneo ya kazi

●Ujuaji mwingi. Wakae wakubali kuelekezwa. Kuna siku nilitoa elimu ya kilimo fulani nikashangaa vijana wanacriticize halafu hawajawahi hata kulima bustani ya mbogamboga
Ujuaji mwingi sana unawapotezea fursa.
 
Ujuaji .Mwanasheria wewe,Daktari wewe,mwalimu wewe,Mhandisi wewe,Nurse wewe,Mpishi wewe,Mchambuzi wa siasa na mpira.leo kuna lijamaa naliambia tuanzishe project ya kuku hela ntatafuta mimi ,ananiambia bora mbuzi au ng'ombe utafikiri anaujua mfuko wangu maza faka.
 
Ujuaji .Mwanasheria wewe,Daktari wewe,mwalimu wewe,Mhandisi wewe,Nurse wewe,Mpishi wewe,Mchambuzi wa siasa na mpira.leo kuna lijamaa naliambia tuanzishe project ya kuku hela ntatafuta mimi ,ananiambia bora mbuzi au ng'ombe utafikiri anaujua mfuko wangu maza faka.
jamaa kichwani linawaza nini halitaki kuku linataka kuanzia mbuzi ng'ombe jinga kabisa tafuta m2 mwingine huyo jamaa mfundishe kwa matendo kabisa
 
Hapo no 2. Ndio tatizo kuu la nchi hiii kuanzia vijana hadi wazee.
 
Back
Top Bottom