Vijana wa Kitanzania tutajiajiri vipi au kutengeneza uchumi binafsi ili kuondokana na kuwa tegemezi?

Vijana wa Kitanzania tutajiajiri vipi au kutengeneza uchumi binafsi ili kuondokana na kuwa tegemezi?

Z K Ahmad

Member
Joined
Mar 16, 2019
Posts
29
Reaction score
36
Wimbi la ajira ni kubwa sana na kiukwel maisha ya vijana wengi yapo mikononi mwa wazazi na Ndugu wengine wenye mioyo yakusaidia Ndugu zao.

Vijana wengi Sana nchini hawaelewi ni namna gani watajikwamua kiuchumi ili kuondokana na Hali hii.

Je, wewe Kama Kijana unashauri Nini kwa vijana wenzako. Chukulia kwamba huyo Kijana mwenzio Hana hata Msingi na hajui anapata wapi huo msingi. Pia licha yakuwepo na sehemu zakufanya vibarua, Bado vibarua hivyo vitakuwa ni vya mda tu ambapo atapata pesa lakini haitotosha kuwa sehemu ya msingi.

Nakaribisha Mawazo Yenu.

Langu Mimi ni kuanzisha Mpango wakuinua vijana 5 mpaka kumi kila mwezi. Nakaribisha Hoja Kwenye wazo langu hili pia.
 
Wimbi la ajira ni kubwa sana na kiukwel maisha ya vijana wengi yapo mikononi mwa wazazi na Ndugu wengine wenye mioyo yakusaidia Ndugu zao.

Vijana wengi Sana nchini hawaelewi ni namna gani watajikwamua kiuchumi ili kuondokana na Hali hii.

Je, wewe Kama Kijana unashauri Nini kwa vijana wenzako. Chukulia kwamba huyo Kijana mwenzio Hana hata Msingi na hajui anapata wapi huo msingi. Pia licha yakuwepo na sehemu zakufanya vibarua, Bado vibarua hivyo vitakuwa ni vya mda tu ambapo atapata pesa lakini haitotosha kuwa sehemu ya msingi.

Nakaribisha Mawazo Yenu.

Langu Mimi ni kuanzisha Mpango wakuinua vijana 5 mpaka kumi kila mwezi. Nakaribisha Hoja Kwenye wazo langu hili pia.
Fursa zipo tatizo ni exposure, udhubutu na dharau.
vijana wengi wanaishi kwa mazoea na hawana mpango na kupata maarifa mapya ya kibiashara
 
Wimbi la ajira ni kubwa sana na kiukwel maisha ya vijana wengi yapo mikononi mwa wazazi na Ndugu wengine wenye mioyo yakusaidia Ndugu zao.

Vijana wengi Sana nchini hawaelewi ni namna gani watajikwamua kiuchumi ili kuondokana na Hali hii.

Je, wewe Kama Kijana unashauri Nini kwa vijana wenzako. Chukulia kwamba huyo Kijana mwenzio Hana hata Msingi na hajui anapata wapi huo msingi. Pia licha yakuwepo na sehemu zakufanya vibarua, Bado vibarua hivyo vitakuwa ni vya mda tu ambapo atapata pesa lakini haitotosha kuwa sehemu ya msingi.

Nakaribisha Mawazo Yenu.

Langu Mimi ni kuanzisha Mpango wakuinua vijana 5 mpaka kumi kila mwezi. Nakaribisha Hoja Kwenye wazo langu hili pia.
Binafsi nilikua na idea ambayo ni shirikishi yenye uwezo wa kubadilisha maisha ya vijana kwa mwaka mmoja tuu tatizo vijana si waelewa na ni malimbukeni saana... WaliniPiga kitu kizito balaa.. Ngozi nyeusi nuksi Saaaana
 
Binafsi nilikua na idea ambayo ni shirikishi yenye uwezo wa kubadilisha maisha ya vijana kwa mwaka mmoja tuu tatizo vijana si waelewa na ni malimbukeni saana... WaliniPiga kitu kizito balaa.. Ngozi nyeusi nuksi Saaaana
Hapa ndiposa unahitajika kuweka hiyo Idea ili vijana waichambue nakuikaribia_ karibu tuweze kuipokea kila wazo litaheshimiwa
 
Nashauri vijana waanze uwekezaji kwenye masoko ya mitaji. Uwekezaji kwenye masoko ya hisa hasa kwa zile kampuni zinazofanya vizuri ndio msingi ambao unaweza kutengeneza uchumi imara kwa vijana. Kuwekeza kwenye mifuko ya pamoja kama UTT naona ndio suluhisho bora kwa vijana ukizingatia unaweza kutengeneza compound interest. Uwekezaji kwenye government Bonds ni ushauri mzuri kwa vijana.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Nashauri vijana waanze uwekezaji kwenye masoko ya mitaji. Uwekezaji kwenye masoko ya hisa hasa kwa zile kampuni zinazofanya vizuri ndio msingi ambao unaweza kutengeneza uchumi imara kwa vijana. Kuwekeza kwenye mifuko ya pamoja kama UTT naona ndio suluhisho bora kwa vijana ukizingatia unaweza kutengeneza compound interest. Uwekezaji kwenye government Bonds ni ushauri mzuri kwa vijana.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wazo ni zuri ila kwa kijana ambaye yuko level O anawekezaje soko la hisa ama bonds. Hizo ni kwa waliofanikiwa ndio wanaweza wekeza huko au wenye steady income pattern.
 
Wazo ni zuri ila kwa kijana ambaye yuko level O anawekezaje soko la hisa ama bonds. Hizo ni kwa waliofanikiwa ndio wanaweza wekeza huko au wenye steady income pattern.
Ok, kwa Upande wa hisa kwa sasa hata moja unaweza kununua mfano hisa Moja CRDB ina range sh 380-390. Mfuko wa Umoja UTT unaweza kuanzia uwekezaji kwa sh. 10,000/= Hivyo kijana akiamua anaweza kabisa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mie kwa maisha yangu niliyoishi Tanzania na kidogo nje nilichokiona kwa vijana wa Tanzania ni uvivu wa kufikiri na kukosa hali ya kujituma na ukosefu wa exposure

Nchi yetu imekuwa na inaendelea na katika kuendelea kwake kuna fursa nyingi sana zinajitokeza ambapo unaweza kutoka kwenye utegemezi kama ukiweza kuzifanyia kazi. Usikubali kuwa tegemezi. Nikupe mfano wangu mimi nilikuwa na house boy ambaye licha ya kumlipa vizuri ila kipato kilikuwa akimtoshelezi kwa kuwa alikuwa na wazazi na mtoto anayemtegea kijijini alipotoka. Nilichofanya kwa kuwa nina eneo nyumbani nilimwambia alime pilipili za mwendokasi pamoja na nyanya zakuweka kwenye mifuko iliyotumika ya simenti.

Maji na mbolea alikuwa anapata bure kwa kuwa tuna mifugo pia. Amefanya hiyo biashara kilimo kwa miaka mitatu na kipato anachopata ni zaidi ya laki kwa mwezi na pia mboga mboga zingine anazolima tunatumia nyumbani. Ameweza kujinunulia vitu vyote vya msingi kama kitanda, godoro, subwoofer na pia anatuma hela kijijini wanalima na wanapata kipato na yeye akipokea hela za mavuno. Huo ni mfano mdogo wa kutoka kwenye utegemezi na kusimama mwenyewe

Vijana msikae bure, mjishughulishe hata na vitu vidogo vinavyoweza kukukwamua. Tutumie nguvu, akili na uwezo wetu kuweza kujikwamua. Kwa sasa ajira hamna tuumize vichwa kubuni na kufanya vitu vyenye tija ili kukupatia mtaji wa kukusogeza mbele.

Maisha yanahitaji akili sana na kukaa bila kuitumia akili unalemaa. Jitume kuhakikisha unaweka kitu mezani hata kama bado unaishi kwa wazazi, jitegemee vitu vidogo vidogo na sio kuomba omba kwa wazazi.

Tumia mitandao kujifunza vitu vipya na maarifa mapya nje ya mfumo wa mgumu wa elimu uliosomea itakusaidia sana kuona fursa mpya. Tazama nchi kama fursa kisha tumia akili yake kuingiza kipato kupitia hiyo fursa
 
Mie kwa maisha yangu niliyoishi Tanzania na kidogo nje nilichokiona kwa vijana wa Tanzania ni uvivu wa kufikiri na kukosa hali ya kujituma na ukosefu wa exposure

Nchi yetu imekuwa na inaendelea na katika kuendelea kwake kuna fursa nyingi sana zinajitokeza ambapo unaweza kutoka kwenye utegemezi kama ukiweza kuzifanyia kazi. Usikubali kuwa tegemezi. Nikupe mfano wangu mimi nilikuwa na house boy ambaye licha ya kumlipa vizuri ila kipato kilikuwa akimtoshelezi kwa kuwa alikuwa na wazazi na mtoto anayemtegea kijijini alipotoka. Nilichofanya kwa kuwa nina eneo nyumbani nilimwambia alime pilipili za mwendokasi pamoja na nyanya zakuweka kwenye mifuko iliyotumika ya simenti.

Maji na mbolea alikuwa anapata bure kwa kuwa tuna mifugo pia. Amefanya hiyo biashara kilimo kwa miaka mitatu na kipato anachopata ni zaidi ya laki kwa mwezi na pia mboga mboga zingine anazolima tunatumia nyumbani. Ameweza kujinunulia vitu vyote vya msingi kama kitanda, godoro, subwoofer na pia anatuma hela kijijini wanalima na wanapata kipato na yeye akipokea hela za mavuno. Huo ni mfano mdogo wa kutoka kwenye utegemezi na kusimama mwenyewe

Vijana msikae bure, mjishughulishe hata na vitu vidogo vinavyoweza kukukwamua. Tutumie nguvu, akili na uwezo wetu kuweza kujikwamua. Kwa sasa ajira hamna tuumize vichwa kubuni na kufanya vitu vyenye tija ili kukupatia mtaji wa kukusogeza mbele.

Maisha yanahitaji akili sana na kukaa bila kuitumia akili unalemaa. Jitume kuhakikisha unaweka kitu mezani hata kama bado unaishi kwa wazazi, jitegemee vitu vidogo vidogo na sio kuomba omba kwa wazazi.

Tumia mitandao kujifunza vitu vipya na maarifa mapya nje ya mfumo wa mgumu wa elimu uliosomea itakusaidia sana kuona fursa mpya. Tazama nchi kama fursa kisha tumia akili yake kuingiza kipato kupitia hiyo fursa
Umefanya vema sana mkuu......badala ya mtu kumpa samaki.....wew umempa nyavu ( skills)
 
Back
Top Bottom