Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari!
Kila kukicha kuna jambo jipya mengine ya kustaajabisha na mengine yakuuzunisha katika jamii.
Wimbi kuwa la vijana wetu wa kiume wamekuwa wakijisahau kupita kiasi sababu jamii kwa sasa haina nguvu tena kama ilivyokuwa zamani.
Ushauri kwenu vijana wa kiume na jinsi mnavyonyoa moja kwa moja mnasikitisha jamii. Mnajisahau kupita kiasi mnakuwa sawa sawa na jamii inavyopambana na kulia kwa mtoto wa kike na mavazi ya ovyo.
Mtatuita sisi ni wazee wakoloni ila kwa unyoaji huo si vyema kabisa kwa kijana aliyejiatambua na kuelimika.
Kumbukeni nguvu ya elimu uonekana pale inapotumika kwako na kwa watu wengine.
Jitathimini mwenyewe na style ya nywele na ujiulize maswali machache kwa haraka.
Ikitokea sehemu ya heshima wakati huu utakwenda bila kuanza kujiuliza mara mbili mbili.
Wewe kama ukawa ni mgeni rasmi katika tukio fulani utakwenda bila kujiuliza huo muonekano?
Achana na kuiga mambo yasiyo ya msingi vijana mnapoteza sura yenu halisi kwa jamii kwa ujumla
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Kila kukicha kuna jambo jipya mengine ya kustaajabisha na mengine yakuuzunisha katika jamii.
Wimbi kuwa la vijana wetu wa kiume wamekuwa wakijisahau kupita kiasi sababu jamii kwa sasa haina nguvu tena kama ilivyokuwa zamani.
Ushauri kwenu vijana wa kiume na jinsi mnavyonyoa moja kwa moja mnasikitisha jamii. Mnajisahau kupita kiasi mnakuwa sawa sawa na jamii inavyopambana na kulia kwa mtoto wa kike na mavazi ya ovyo.
Mtatuita sisi ni wazee wakoloni ila kwa unyoaji huo si vyema kabisa kwa kijana aliyejiatambua na kuelimika.
Kumbukeni nguvu ya elimu uonekana pale inapotumika kwako na kwa watu wengine.
Jitathimini mwenyewe na style ya nywele na ujiulize maswali machache kwa haraka.
Ikitokea sehemu ya heshima wakati huu utakwenda bila kuanza kujiuliza mara mbili mbili.
Wewe kama ukawa ni mgeni rasmi katika tukio fulani utakwenda bila kujiuliza huo muonekano?
Achana na kuiga mambo yasiyo ya msingi vijana mnapoteza sura yenu halisi kwa jamii kwa ujumla
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu