Vijana wa kiume muigeni huyu jamaa

Vijana wa kiume muigeni huyu jamaa

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wanawake tangu kuolewa kwao mpaka kuzeeka huwa hawawapi waume zao nafasi za kuwa huru na kushukuriwa.

Kwa bahati mbaya sana vijana wa kiume ndiyo wanaoongoza kwa kuwashutumu na kuwatendea vibaya baba zao.

Vijana hao husahau kuwa anayotendewa baba yao na mama yao akisihrikiana na wao, na wao pia watatendewa na wake zao wakishirikiana na watoto zao.

Hii Clip hapo chini ina funzo toka kwa mtoto wa kiume anayejielewa.

 
Wanawake tangu kuolewa kwao mpaka kuzeeka huwa hawawapi waume zao nafasi za kuwa huru na kushukuriwa.

Kwa bahati mbaya sana vijana wa kiume ndiyo wanaoongoza kwa kuwashutumu na kuwatendea vibaya baba zao.

Vijana hao husahau kuwa anayotendewa baba yao na mama yao akisihrikiana na wao, na wao pia watatendewa na wake zao wakishirikiana na watoto zao.

Hii Clip hapo chini ina funzo toka kwa mtoto wa kiume anayejielewa.

View attachment 3093604
Kwa bahati mbaya sana vijana wa kiume ndiyo wanaoongoza kwa kuwashutumu na kuwatendea vibaya baba zao.

Vijana hao husahau kuwa anayotendewa baba yao na mama yao akisihrikiana na wao, na wao pia watatendewa na wake zao wakishirikiana na watoto zao.📌🔨
 
Kwa bahati mbaya sana vijana wa kiume ndiyo wanaoongoza kwa kuwashutumu na kuwatendea vibaya baba zao.

Vijana hao husahau kuwa anayotendewa baba yao na mama yao akisihrikiana na wao, na wao pia watatendewa na wake zao wakishirikiana na watoto zao.📌🔨
Maisha ya vijana wa kiume yamejaa uchawa sana kwa mama zao.
 
Back
Top Bottom