Vijana wa kutoka Mbeya ni wastaarabu na wapole; mfano ni RayVanny

Pale mjini wamechagua jamaa mnyosha vidole vya kati, haongei cha maana ila angalia vjna wa mbeya wanavyomsifia rais wao kuendekeza ukanda uzandiki ndio kilichofanya mbeya kuanza kupitwa na iringa
Inawezekana hapa nabishana na mtoto,
Hivi mbunge wa kibamba John Mnyika ni mzawa wa Kibamba,
Mbunge wa arusha mjini Lema ni mzawa wa arusha au
mbunge wa morogoro mjini Abood ni mzawa wa morogoro nipe majibu ya hilo swali?
Ndio utajua Mbeya hawana ukabila kwa kumchagua mtu asiye mnyakyusa pale mbeya mjini
 
Elimu kubwa mbeya anayo mwandosya na mwakyembe wengne wababaishaji tu vjna wao bang na ukimwi umewamaliza

Asilimia 60 maduka ya mbeya ni ya team kinga na chaga, nyie labda shughuli za misiban kulia kwa style ya tarumbeta ndo mna tawala huko, kwenye biashara ni bashite nyie
Chuki binafsi zitakuua kijana nenda kalale tu, mana huna point ila unajidhihirisha jinsi ulivyokuwa na chuki kwa watu wa mbeya.
Nenda TRA, BOT, TPA, IMF, ndio utajua wasomi kwa wanyakyusa ni Mwandosya na Mwakyembe.
Kwa wanyakyusa Mwandosya na Mwakyembe ni wanasiasa ila sio wasomi. Ulizia wasomi wakinyakyusa uambiwe sio unakuja hapa umejaa mapovu kwa chuki zako binafsi
 
Fact Mkuu kweli kule watu wao wanateketea kwa UKIMWI japo hatuwaombei!
Ukimwi upo mikoa yote Tanzania, na kila kabila limeathirika na hili janga.
Ukifika south afrika ndio utajua Tanzania hamna ukimwi.
Ila ninyi mnaonesha mlivyo wabaguzi eti wanyakyusa wanateketea kwa ukimwi.
Hizo takwimu ni za taasisi gani?
 
Ukimwi upo mikoa yote Tanzania, na kila kabila limeathirika na hili janga.
Ukifika south afrika ndio utajua Tanzania hamna ukimwi.
Ila ninyi mnaonesha mlivyo wabaguzi eti wanyakyusa wanateketea kwa ukimwi.
Hizo takwimu ni za taasisi gani?
Ni kweli Kila Familia imeathirika na Hili Janga kwa Namna Moja Ama nyingine ila kaangalie Takwimu uone top 3 ya mikoa yenye Ngoma na siku hizi ukigonga ukawa na wasiwasi utaulizwa mwanamke anatokea mikoa ipi ili kukadiria rate ya exposure maana mikoa haifanani kwa rate ya ukimwi kwa mfano arusha ni 2% Mbeya ni More than 8%
 
Kuna kampeni ya ondoa mkono wa sweta mbeya inafanyika kwa kasi sana kipindi cha miaka ya karibuni hiyo inaonesha kuwa mbeya ni waathirika wakubwa wa gonjwa la ukimwi
 
Acha kejeli za ajabu nan mtoto mdogo, tumekuja mbeya kuendesha kampeni ya ondoa mkono wa sweta mbeya watu wazima hawajafanyiwa, unajiona mjanja we kweli jaza ujazwe
 
Chuki binafsi zitakumaliza wewe choko,
Mbeya itabaki Mbeya na wanyakyusa watabaki wanyakyusa milele.
Kama wanyakyusa wanateketea kwa ukimwi mji wa mbeya ungebaki gofu na pia rungwe yote ingebaki pori baada ya watu wote kufariki.

Ukimwi umeingia mwaka 1980 kwa hao wanyakyusa kwa hiyo wangekuwa wameisha wote kwa ukimwi lakini wanazidi kuongezeka na miji yao inakuwa kwa kasi.

Kijana una mawazo ya kichawi hivyo je ukiwa mzee utakuaje?
Unasikitisha sana.
 
Utakuwa mchepuko wake wewe, unajua hadi salio la akaunti yake!
 
Mbona watu wa mbeya wako kama watu wengine wa africa tu..kila mkoa una watu wazuri na wabaya..
 
Acha kejeli za ajabu nan mtoto mdogo, tumekuja mbeya kuendesha kampeni ya ondoa mkono wa sweta mbeya watu wazima hawajafanyiwa, unajiona mjanja we kweli jaza ujazwe
Nataman kujua umri wako tu Mkuu.


Maana comment Yako inanichanganya.
 
Halafu Hao hao Vijana wa Mbeya Hawanaa Roho ya Kiume na ya Upambanaji yaani wao ni kulia lia tu...Mfano mzuri wewe Hapo Kipi Hasa kinakufanya ulie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…