Ndugu Mitindo, hakuna sehemu niliyozungumzia kafara na wala siwezi kuamini kuwa kila mafanikio ya kibiashara lazima yatokane na shetani.. Hapana sijaongea juu ya kafara ila tabia na kuwaogopa Wanyamanyafu ila biashara hata kama inatokana na kafara ni lazima uwe na lugha nzuri ya biashara siyo mteja kaja wewe unamwambia "seeeeee!! Naongea na simu wewe ujui kama kuna kuna kilio"? nimefiwa, mweeee.Pole sana, mana unaongea usuchokijua.
Hivi unajua vizuri siri ya utajiri wa wakinga, wachaga, wahindi n.k
Kama unafikiri utajiri wa kafara ndio maendeleo unasikitisha sana.
Kilema ni wewe mwenye chuki binafsi kwa wanyakyusa kama mchawi.
Hivi kijana una mawazo ya kichawi hivyo, je ukizeeka si utakuwa shetani kabisa......!!!!!
Pole sana