mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,610
- 1,601
Ila katika mkoa wa Mbeya wapo Wanyakyusa wa aina 2,wapo wa Tukuyu ambapo kuna neema kubwa toka kwa Mungu na wengine Wanyakyusa wa Kyela hawa Wanyakyusa wa Tukuyu wengi wapo fresh ila shida inakuja kwa hawa wa Kyela wengi wao ni watu wa misifa na huwezi kuwatofautisha na ndugu zetu wa kutoka Kagera
Naona sasa wote mnazungumzia wanyakyusa wa kyela, ila ni vizuri ikaeleweka kwamba dhumuni mleta uzi ni kuelezea ustaarabu na upole wa wanyakyusa ila ajasema wanyakyusa wa kyela.Mitindo c kweli tumekuja kuwananga hawa watu kifupi ni wabaguzi sana tena mno lbd hujawahi ishi nao au unatetea lbd unatoka huko mkuu lkn ni shida kubwa hawa watu haswa wakyera na rudia tena ni shida kubwa
Ila ata angesema wanyakyusa wa kyela hajakosea mana pia sio wanyakyusa wote wa kyela wana matatizo.
Hapa Tanzania kuna jamii za kizaramo, kichaga, kisukuma, kiruguru, kimasai, kihaya, kigogo, kikwere n.k kila jamii ina kasoro sasa sijaona kosa la mleta uzi hadi mnaanza kuwananga wanyakyusa wa kyela.
Au mnaweza kuniambia kosa la mleta mada hadi mnaanza kuwananga wanyakyusa wa kyela?