Vijana wa kutoka Mbeya ni wastaarabu na wapole; mfano ni RayVanny

Vijana wa kutoka Mbeya ni wastaarabu na wapole; mfano ni RayVanny

Hapana mkuu hiyo sifa ya uchawi na ukatili imebaki mkoa mpya wa Songwe hao ndio walikuwa wanaharibu sifa za mbeya,kwa kawaida wanyakyusa hawana tabia za ukatili sijui kuchuna ngozi hao ni wanyiha wa Mbozi ambayo kwasasa ni makao makuu ya mkoa mpya wa songwe.

Mwe banyafyale mulipoooo, abhankisu kinunu,bhasitalimo, bhifyusi, abhamahala , twe bhyimbi, Kyala atufigwegeeeeee

Mwe
Ndaga fijo mwee, bhali na matingo fijo abhajanga abha. Aseeee! Twe bha Ndimyake Mwakalyelye
 
Mfano Ray vanny ni kijana wa kuigwa kulingana na mafanikio yake lakini very humble hata ukimuangalia na Izo bnes mtakubaliana na mimi. Msinitukane plz ni maoni yangu tuu.


Kweli kabisa, ila umesahau sifa moja, na WANAFIKI.
 
Imbombo ilipo.......malafyale
b23317dbd468b1c72cf346719fe83ad4.jpg
 
Waongo sana tena wanyanyasaji ni watu wa kujiskia sana kuna mmoja huyo kaoa bara ni darali anamnyanyasa mkewe sana,hamnunulii chochote hata nguo za ndani zaidi ya kula tu amepga marufuku ndg wa mke wake kuja pale lkn mke skimuomba pesa ili atume kwa ndg zake jamaa hatia hata cent,inabidi mwanamke afanye kazi za baa ili ajisaidie lkn pia asaifie ndgze wakat bwana hakosi kwenye acount 15ml as hayo ni mambo gani na kila anunuacho hamshilikishi mwenzie kakata bima as matibabu 3 lkn kambagua mke wake watu hawa ni shida sana haswa wakyela mbeya kwao na mwakyembe ni watu wa kujiskia .
 
Maisha tu yamemnyoosha na kumfunza kuishi na watu ila kwa kawaida vijana wa mbeya ni bange, majungu, vurugu na mihemko kwa kwenda mbele

Ni miongo, minyanyasaji, ilivyojaa Wivu, Majungu, ushamba, fitina na kutojitambua.
 
WATU WA MBEYA HASWA KABILA LA WANYAKYUSAA,

NI WABAGUZI HATARI SANA KAMA WEWE SIO MNYAKYUSAA UTABAGULIWA
 
Maisha tu yamemnyoosha na kumfunza kuishi na watu ila kwa kawaida vijana wa mbeya ni bange, majungu, vurugu na mihemko kwa kwenda mbele
Hakuna kulicho kupelekea ku comment hivi zaid ya vimelea vya siasa vinavyo wasumbua wana CCM wengi
 
Back
Top Bottom