Vijana wa miaka 20 Kenya wanajadili mustakabali wa nchi yao kwa weledi mkubwa sana. Vijana wa Tanzania wanakwama wapi?

Vijana wa miaka 20 Kenya wanajadili mustakabali wa nchi yao kwa weledi mkubwa sana. Vijana wa Tanzania wanakwama wapi?

View attachment 3044219

View attachment 3044221

Vijana wa miaka 20s wako CitizenTV muda huu wakijadili masuala yanayohusu nchi yao, na wanafanya hivyo kwa weledi mkubwa sana.

Vijana wa miaka 20s wa Tanzania hawajui chochote na wala hawaelewi chochote kuhusu mambo ya siasa na mustakabali wa nchi yao.

Ukimuuliza kijana wa miaka 20s juu ya mahusiano ya siasa na maisha yake utaona anaanza kuelezea makalio ya Poshi Queen, kitovu cha Yammy, na maisha ya wasanii wengine.

Vijana wa Tanzania wako bize kufuatilia Simba na Yanga, "connection", madanga, uchawa na ujinga mwingine.
Hata nyie wazee wa Tanzania ni yale yale tu! Au unataka kusema yule Bambo ni kijana wa miaka 20? Vipi hawa wakina Mwijaku, Baba Levo na Doto Magari?
 
Eli
View attachment 3044219

View attachment 3044221

Vijana wa miaka 20s wako CitizenTV muda huu wakijadili masuala yanayohusu nchi yao, na wanafanya hivyo kwa weledi mkubwa sana.

Vijana wa miaka 20s wa Tanzania hawajui chochote na wala hawaelewi chochote kuhusu mambo ya siasa na mustakabali wa nchi yao.

Ukimuuliza kijana wa miaka 20s juu ya mahusiano ya siasa na maisha yake utaona anaanza kuelezea makalio ya Poshi Queen, kitovu cha Yammy, na maisha ya wasanii wengine.

Vijana wa Tanzania wako bize kufuatilia Simba na Yanga, "connection", madanga, uchawa na ujinga mwingine.

Elimu yetu yenyewe Tia maji Tia maji. Akili hazisongi
 
Wote mlio above 30's mliwahi pita huu umri wa 20's......Nyie mkiwa kwenye 20's mlifanya nini mpaka saivi mnapata ujasiri wa kuwasagia kunguni madogo? Acheni unafiki Watanzania wote ni maiti kabla na baada ya uhuru
 
Sasa kama wakiongea kidogo mnasema wanavuta bange, wakisema kidogo mnasema hawana adabu, wakisema kidogo mnasema hawajui kitu watoto wa efu mbili, Unataka wafanye nini sasa? Wamewaacha ninyi sasa mnaojitambua muwafikishe Kanani.

Alafu bongo ni moja ya nchi ambayo haina shida ndogondogo… Sehemu ambayo bado jirani anapika na anakukaribisha mle, Sasa hao wenzetu ujamaa tu wenyewe hawana unategemea vyuma vikikaza kidogo watanyamaza?
 
Tukiongozwa na mababu zetu waliong’ang’ania makazini kustaafu aaah
Taka taka kabisa wengi machawa tupu kutwa wanawaza teuzi tu wakipewa mike wanaropoka vijana wajiajiri hapo yy kaedit umri ana 74 kaandika 49 ili aendelee kufanya kazi alipwe 540k za Kila mwezi

Vijana sio kwamba hawaelewi nini kinachofanyika na madhaifu ni yapi, madogo wanajua kuliko hivi vizee venye pressure na kisukari....ila madogo wamekaaa pembeni baada ya kuona siasa za Tu bado hazijapevuka watu wapo kupiga pesa, kufanya propaganda ili watimize ndoto zao
 
Vijana wa miaka 20s wako CitizenTV muda huu wakijadili masuala yanayohusu nchi yao, na wanafanya hivyo kwa weledi mkubwa sana...
We waache tu waendelee kulimbikiza wasomi wasio kuwa na mbele Wala nyuma mtaani baada ya mda binadamu anakosa uvumilivu yatakayotokea Kenya ni cha mtoto
 
Taka taka kabisa wengi machawa tupu kutwa wanawaza teuzi tu wakipewa mike wanaropoka vijana wajiajiri hapo yy kaedit umri ana 74 kaandika 49 ili aendelee kufanya kazi alipwe 540k za Kila mwezi

Vijana sio kwamba hawaelewi nini kinachofanyika na madhaifu ni yapi, madogo wanajua kuliko hivi vizee venye pressure na kisukari....ila madogo wamekaaa pembeni baada ya kuona siasa za Tu bado hazijapevuka watu wapo kupiga pesa, kufanya propaganda ili watimize ndoto zao
Kuna jamaa alikuwa anazunguka na mshati wake wa kijani tukawa tunamcheka juzi kati kapata ajira..!! 😹😹😹

CCM imefanya vijana waone uchawa ni sehemu ya kutoboa kimaisha, wafanyabiashara ili asisumbuliwe anaona bora amiliki kadi ya chama.

Raia wanafata unafuu wa maisha sio mapenzi ya kweli na chama.
 
Weka Uzi unaohusu ngono, mpira, na pombe uone chap! Wanauchangamkia fasta Tena unapata wachangiaji wengi saana

Lakin mambo mhimu ya nchi wako kimya!! kama zombie utafikiri sio raia wa nchi hii yaan mpaka inakera Aisee!! Natamani nipite mtaani na bakora nichalaze wote.

Amkeni jamani! Weke-up!
 

Vijana wa miaka 20s wako CitizenTV muda huu wakijadili masuala yanayohusu nchi yao, na wanafanya hivyo kwa weledi mkubwa sana.

Vijana wa miaka 20s wa Tanzania hawajui chochote na wala hawaelewi chochote kuhusu mambo ya siasa na mustakabali wa nchi yao.

Ukimuuliza kijana wa miaka 20s juu ya mahusiano ya siasa na maisha yake utaona anaanza kuelezea makalio ya Poshi Queen, kitovu cha Yammy, na maisha ya wasanii wengine.

Vijana wa Tanzania wako bize kufuatilia Simba na Yanga, "connection", madanga, uchawa na ujinga mwingine.
Wako bize na Kubeti, diamondi, na connections
 
Weka Uzi unaohusu ngono, mpira, na pombe uone chap! Wanauchangamkia fasta Tena unapata wachangiaji wengi
Mimi nadhani kuna Ujasusi tunafanyiwa na Wakenya au Majirani ili watu wetu waendelee kuwa mazuzu huku wa kwao wakiwa na Nchi yao.

Hili sio jambo la kawaida. Mamlaka husika msikichukulie poa. After 20 yrs to come unaweza kushangaa Tanzania inachukuliwa na Kenya kimzaha mzaha. Unless hamfikirii kuhusu kesho ya Tanzania.
 

Vijana wa miaka 20s wako CitizenTV muda huu wakijadili masuala yanayohusu nchi yao, na wanafanya hivyo kwa weledi mkubwa sana.

Vijana wa miaka 20s wa Tanzania hawajui chochote na wala hawaelewi chochote kuhusu mambo ya siasa na mustakabali wa nchi yao.

Ukimuuliza kijana wa miaka 20s juu ya mahusiano ya siasa na maisha yake utaona anaanza kuelezea makalio ya Poshi Queen, kitovu cha Yammy, na maisha ya wasanii wengine.

Vijana wa Tanzania wako bize kufuatilia Simba na Yanga, "connection", madanga, uchawa na ujinga mwingine.
Kipindi uko 20 nawe ulifanya nn .
Ushamaliza ujana wako hakuna aliekupangia nn cha kufanya ...
 
Kuna jamaa alikuwa anazunguka na mshati wake wa kijani tukawa tunamcheka juzi kati kapata ajira..!! 😹😹😹

CCM imefanya vijana waone uchawa ni sehemu ya kutoboa kimaisha, wafanyabiashara ili asisumbuliwe anaona bora amiliki kadi ya chama.

Raia wanafata unafuu wa maisha sio mapenzi ya kweli na chama.
Afu Kuna hapa imekosa kazi ya kufanya analeta thread kulaumu Gen Z mchawi mifumo na walezi wakubwa wa hii mifumo ni hawa hawa wazee wetu
 
Back
Top Bottom