BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Katika bara la Africa vijana wa Nigeria ndio wanaongoza kwa kutoboa kimaisha kwa kiwango Cha hali ya juu.
Tena wapo karbu kila nchi duniani.
Sio Hapa bongo mtu akiwa na Ist au foresta anavimbaa..vijana wa Naijeria wananunua gari za kifahari zero kilometers. Tena range, Jaguar, bentley..hivi. wao wanafanyaje au wamewazidi nn vijana wa nchi nyingne za Africa.
Bongo kijana mwenye Akili ya kutoboa sana...ni chawa wa kulamba watu miguu ndio Akili
mntuu.
Yaani
Tena wapo karbu kila nchi duniani.
Sio Hapa bongo mtu akiwa na Ist au foresta anavimbaa..vijana wa Naijeria wananunua gari za kifahari zero kilometers. Tena range, Jaguar, bentley..hivi. wao wanafanyaje au wamewazidi nn vijana wa nchi nyingne za Africa.
Bongo kijana mwenye Akili ya kutoboa sana...ni chawa wa kulamba watu miguu ndio Akili
mntuu.
Yaani