BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Acha kihere here ...kabla post haijakaa sawa' Dakika moja ushajibu uchuro...ndio wale wale Ist used umetoboa maisha.Duuh
Wanaingia kwa kutoba
Rage
Kuametoboa
Mntuu
Kazi ipo aisee
Majungu vipi?huu ni ukweli mchungu vijana wa aina ya Mwinjaku na wenzie ni watu wa kujisifia kweli mbele ya walimwengu!!!!😭😭😭😭kwa mambo yanayoendelea hapa bongo ni aibu kujitambulishaWatanzania sijui kwanini mnajichukia kiasi hicho.
Yaani kila siku Ni kupigana majungu tu