Nikiwa kama moja kati ya wanafunzi tuliowahi kupitia ndanda sec kuna mambo mengi huwa nayakumbuka kutoka pale shuleni hakika yapo mengi sana ila machache kati ya hayo mengi ni;
1. Ngoma ya Lizangati
2. Top layers
3. Maembe ya kumwaga ukifika msimu wa matunda
4. Ongezea wewe