Vijana wa siku hizi wanadhulumiwa sana burudani ya muziki

Vijana wa siku hizi wanadhulumiwa sana burudani ya muziki

Kwa sisi wazee wa dansi kulikuwa na kina Msondo ngoma, Sikinde, Vijana Jazz, Bantu group., Watunjatanjata.

Kwa wavuta bangi kina Alpha Blondi Lucky Dube, Bob Marley, Peter Tosh

Na hawa umewasahau kwenye list yako... Boyz Ii Men, Whitney Houston, Iron Chakachaka...

Wamama wa mipasho waliwakilishwa na Khadija Kopa na Nasma Hamis Kidogo bilankumsahau Mzee Yusuf...

Dah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Huyo George Michael(marehemu) nae kumbe alikua bwabwa nguli. Mtaro ulifukuliwa haswaa. Nadhani kuna shida ktk hii tasnia ya music. Labda kwa sababu Shetani nae ndio alikua Mwanamziki wa kwanza kabisa mbinguni. Fikilia watu na heshima zao kama Elton John ( sasa ni mke wa mtu). Telvin campbell, Marvin Gaye (maerehemu) wote hawa ni wanamuziki wakubwa kabisa lakini wanagongwa
Hata hapa Bongo mzee wanaume wanagongwa kinoma bado haijajulikana siri ya hii kitu katika tasnia ya muziki dunian
 
Tatizo hapa ni kitu inaitwa NOSTALGIA ndio kinawasumbua watu wa zamani.

Hata kizazi hiki tutaface Nostalgic moments za nyimbo za sasa.

Nyimbo mbovu zamani na sasa zote zilikuwepo and vice versa
 
Huyo George Michael(marehemu) nae kumbe alikua bwabwa nguli. Mtaro ulifukuliwa haswaa. Nadhani kuna shida ktk hii tasnia ya music. Labda kwa sababu Shetani nae ndio alikua Mwanamziki wa kwanza kabisa mbinguni. Fikilia watu na heshima zao kama Elton John ( sasa ni mke wa mtu). Telvin campbell, Marvin Gaye (maerehemu) wote hawa ni wanamuziki wakubwa kabisa lakini wanagongwa
Hivi Marvin Gaye aliwahi kuwa shoga? Au jina lake tu ndo lilileta taharuki!

Aliuawa kabla hata sijazaliwa ila huwa namsikilza sana.

Let's get it on, whats going on, inner city blues.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo George Michael(marehemu) nae kumbe alikua bwabwa nguli. Mtaro ulifukuliwa haswaa. Nadhani kuna shida ktk hii tasnia ya music. Labda kwa sababu Shetani nae ndio alikua Mwanamziki wa kwanza kabisa mbinguni. Fikilia watu na heshima zao kama Elton John ( sasa ni mke wa mtu). Telvin campbell, Marvin Gaye (maerehemu) wote hawa ni wanamuziki wakubwa kabisa lakini wanagongwa
Acha kudanganya, Marvin Gaye hakuwa gay.
 
Aliuliwa na baba ake mzazi kwa bunduki kisa kashifa ya ushoga.
Again unadanganya. Marvin Gaye aliuawa na baba yake kutokana na ugomvi baina yao. Marvin alimchukia baba yake kutokana na mateso aliyompa utotoni. Watu huwa wanachanganya, actually baba yake Marvin ndiye alikuwa "cross dresser", yaani mwanaume anayependa kuvaa nguo za kike na sio Marvin.
 
90s hapo album za Malijendi Chronic ya Dr Dre, album za Tupac, Ready to die ya Biggie smalls, illmatic ya Nas, mnyama Ice cube hao ni wachache tu kwenye hip-hop.
 
Back
Top Bottom