[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKwa sisi wazee wa dansi kulikuwa na kina Msondo ngoma, Sikinde, Vijana Jazz, Bantu group., Watunjatanjata.
Kwa wavuta bangi kina Alpha Blondi Lucky Dube, Bob Marley, Peter Tosh
Na hawa umewasahau kwenye list yako... Boyz Ii Men, Whitney Houston, Iron Chakachaka...
Wamama wa mipasho waliwakilishwa na Khadija Kopa na Nasma Hamis Kidogo bilankumsahau Mzee Yusuf...
Dah
Hata hapa Bongo mzee wanaume wanagongwa kinoma bado haijajulikana siri ya hii kitu katika tasnia ya muziki dunianHuyo George Michael(marehemu) nae kumbe alikua bwabwa nguli. Mtaro ulifukuliwa haswaa. Nadhani kuna shida ktk hii tasnia ya music. Labda kwa sababu Shetani nae ndio alikua Mwanamziki wa kwanza kabisa mbinguni. Fikilia watu na heshima zao kama Elton John ( sasa ni mke wa mtu). Telvin campbell, Marvin Gaye (maerehemu) wote hawa ni wanamuziki wakubwa kabisa lakini wanagongwa
Hivi Marvin Gaye aliwahi kuwa shoga? Au jina lake tu ndo lilileta taharuki!Huyo George Michael(marehemu) nae kumbe alikua bwabwa nguli. Mtaro ulifukuliwa haswaa. Nadhani kuna shida ktk hii tasnia ya music. Labda kwa sababu Shetani nae ndio alikua Mwanamziki wa kwanza kabisa mbinguni. Fikilia watu na heshima zao kama Elton John ( sasa ni mke wa mtu). Telvin campbell, Marvin Gaye (maerehemu) wote hawa ni wanamuziki wakubwa kabisa lakini wanagongwa
Aliuliwa na baba ake mzazi kwa bunduki kisa kashifa ya ushoga.Hivi Marvin Gaye aliwahi kuwa shoga? Au jina lake tu ndo lilileta taharuki!
Aliuawa kabla hata sijazaliwa ila huwa namsikilza sana.
Let's get it on, whats going on, inner city blues.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kudanganya, Marvin Gaye hakuwa gay.Huyo George Michael(marehemu) nae kumbe alikua bwabwa nguli. Mtaro ulifukuliwa haswaa. Nadhani kuna shida ktk hii tasnia ya music. Labda kwa sababu Shetani nae ndio alikua Mwanamziki wa kwanza kabisa mbinguni. Fikilia watu na heshima zao kama Elton John ( sasa ni mke wa mtu). Telvin campbell, Marvin Gaye (maerehemu) wote hawa ni wanamuziki wakubwa kabisa lakini wanagongwa
Again unadanganya. Marvin Gaye aliuawa na baba yake kutokana na ugomvi baina yao. Marvin alimchukia baba yake kutokana na mateso aliyompa utotoni. Watu huwa wanachanganya, actually baba yake Marvin ndiye alikuwa "cross dresser", yaani mwanaume anayependa kuvaa nguo za kike na sio Marvin.Aliuliwa na baba ake mzazi kwa bunduki kisa kashifa ya ushoga.
Huu nao una hadhi ya kuitwa muziki kweli [emoji23][emoji23]Wanaita TRAP[emoji1787][emoji1787]
Kashfa ya ushoga ni habari za vijiweni tu mkuu.Aliuliwa na baba ake mzazi kwa bunduki kisa kashifa ya ushoga.