Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Gen Z ya Nyerere iko bize na Mpira, Ngono na Upuuzi mwingi.Gen z ya bongo inawaza ngono tu na kubet...tokeni road mkatetee kesho yenu eboo!!.
Vijana wenyewe ndio hawa watoto wa wazee wanaotafuna Nchi.Naomba niseme kwa ufupi tu kuwa mimi ni msema kweli na mzalendo wakweli na dhati kwa Taifa langu. Vijana wa Tanzania wanatambua kazi nzuri na njema inayofanywa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kulipeleka mbele Taifa kimaendeleo na kuwainua kiuchumi wananchi.ndio maana unaona vijana wametulia na kumuunga mkono Rais kwa kuendelea kuchapa kazi ,kwa kuwa wanaona matumaini ya kutimizwa na kufikiwa kwa ndoto zao kila uchwao.
Inawezekana gorofani hayuko vizuriWazee na watoto wao wameshatutia kwenye kapu la Uchawa ni ngumu sana kujinasua.
Kila kijana anadhani akiwa karibu tu na kiongozi anatoboa.
Cha ajabu yuko miaka 10 sasa hamna kitu.
HahahaInawezekana gorofani hayuko vizuri
Tofauti ni ipi mkuuNitofauti
Tumeandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu ukivihoji utaambiwa uondoke nenda huko ukapangeTofauti ni ipi mkuu
Wapi nimesema hivyo?Mpira na muziki sio kikwazo cha maendeleo ya nchi hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babu yako ndo wakumlaumu kipindi nyerere anagawa vyeo yeye alikua anawinda sunguraa porini
Huyu ndiye kijana tuliyenaye!Mjinga namba Moja ni wewe ungekua na hasira na nchi Yako raisi ungeshamnasa vibao maana Kila siku anaonekana yaani mitanzania bhana Kila kitu linamlaumu mwenzie kwamba kazubaa wakati lenyewe linaandikia mtandaoni unataka wanaume wakupiganie wafe wewe ukiwa ndani ya shuka jinga sana wewe wenzio Kenya hawaongei sana kama wewe humu mitandaoni Kenya ni vitendohapa bongo Kila mtu age kivyake tu hamna mtu atae toa rigo yake kisa Kwa mtu mpumbavu kama wewe mtoa thread nasema hayupo ukiona maisha magumu hama bongo nchi mbona zipo nyingi ila sio wanaume tutoe roho zetu kisa mpumbavu kama wewe
Jinga wewe ingia barabarani mwenyewe ufe ndio uwe mfano wa vijana wengine sio unataka wanaume tukutetee wewe upo ndani ya shuka haipo hiyo mzee pambana na Hali yakoHuyu ndiye kijana tuliyenaye!
Kwanza mimi ni mtu mzima, niko retired. Nina vyanzo vyangu vya mapato, hakuna mtu anaweza kumilipa kumpigia debeKina Lucas Mwashambwa, choice variable, Stuxnet , CM 1774858, Tlaatlaah na genge lao wamejitanabaisha kuwa wapiga zeze huku wakifurahia 10k kwa kila uzi wanaopandisha humu. Wakati kuna wazee waliojichokea, wanaohamia cm toka cdm wanakula maisha.
KWa maana hiyo wew utakua ni 1900's na je katika kipindi chenu cha ujana wenu mulikua munapambania nini au mulikua munawaza ngonoGen z ya bongo inawaza ngono tu na kubet...tokeni road mkatetee kesho yenu eboo!!.