Vijana wa Tanzania wanaumizwa na maamuzi ya Kesi ya Yanga kuliko ya CCM na hatima zao

Vijana wa Tanzania wanaumizwa na maamuzi ya Kesi ya Yanga kuliko ya CCM na hatima zao

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Mahakama imetoa hukumu kuwa Uongozi wa Yanga hauko madarakani kihalali hivyo uondoke na uchaguzi ufanyike upya kwa katiba halali ya mwaka 2011.

Ukisoma mitandaoni utaona kuwa Vijana wamekasirika hadi kutishia maisha ya wazee walioshinda kesi.

Hili ni jambo la kusikitisha sana, mbona hatuoni wakikasirika na kuonyesha hisia zao na jinsi serikali inavyo simamia hatima za maisha yao na nchi yao kwa kukasirika kipimo hichohicho wanacho onyesha kwa klabu yao ya Yanga?

Je, hawaoni huu utofauti wao na vijana wa Kenya katika kusimamia Mustakabali wa maisha yao?

Nini tatizo? Au tatizo ni sie wazazi wao kuwalea vibaya?

Pia soma
- Millard: Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
 
Mahakama imetoa hukumu kuwa Uongozi wa Yanga hauko madarakani kihalali hivyo uondoke na uchaguzi ufanyike upya kwa katiba halali ya mwaka 2011.

Ukisoma mitandaoni utaona kuwa Vijana wamekasirika hadi kutishia maisha ya wazee walioshinda kesi.
Hili ni jambo la kusikitisha sana, mbona hatuoni wakikasirika na kuonyesha hisia zao na jinsi serikali inavyo simamia hatima za maisha yao na nchi yao kwa kukasirika kipimo hichohicho wanacho onyesha kwa klabu yao ya Yanga?

Jee hawaoni huu utofauti wao na vijana wa Kenya katika kusimamia Mustakabali wa maisha yao?
Nini tatizo? Au tatizo ni sie wazazi wao kuwalea vibaya?

Pia soma:Millard: Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
Nyie wenyewe mnatuzingua mara kubeti, mara tatu mzuka, mara visungura, mara kutwa nzima uchambuzi wa mpira! Tumejikuta tunaona yote poa tu.
 
Mahakama imetoa hukumu kuwa Uongozi wa Yanga hauko madarakani kihalali hivyo uondoke na uchaguzi ufanyike upya kwa katiba halali ya mwaka 2011.

Ukisoma mitandaoni utaona kuwa Vijana wamekasirika hadi kutishia maisha ya wazee walioshinda kesi.
Hili ni jambo la kusikitisha sana, mbona hatuoni wakikasirika na kuonyesha hisia zao na jinsi serikali inavyo simamia hatima za maisha yao na nchi yao kwa kukasirika kipimo hichohicho wanacho onyesha kwa klabu yao ya Yanga?

Jee hawaoni huu utofauti wao na vijana wa Kenya katika kusimamia Mustakabali wa maisha yao?
Nini tatizo? Au tatizo ni sie wazazi wao kuwalea vibaya?

Pia soma:Millard: Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
Tulishawaachia nchi yao waamue wenyewe
 
kuna haja gani ya kutumia zaidi ya sh. bil. 500 kwenye uchaguzi?

pesa yetu sisi wananchi inamfanya huyu waziri atudharau kiasi hiki..!

Rais asipomtengua huyu waziri na yeye pia atakuwa ametudharau pia.
 
Mahakama imetoa hukumu kuwa Uongozi wa Yanga hauko madarakani kihalali hivyo uondoke na uchaguzi ufanyike upya kwa katiba halali ya mwaka 2011.

Ukisoma mitandaoni utaona kuwa Vijana wamekasirika hadi kutishia maisha ya wazee walioshinda kesi.
Hili ni jambo la kusikitisha sana, mbona hatuoni wakikasirika na kuonyesha hisia zao na jinsi serikali inavyo simamia hatima za maisha yao na nchi yao kwa kukasirika kipimo hichohicho wanacho onyesha kwa klabu yao ya Yanga?

Jee hawaoni huu utofauti wao na vijana wa Kenya katika kusimamia Mustakabali wa maisha yao?
Nini tatizo? Au tatizo ni sie wazazi wao kuwalea vibaya?

Pia soma:Millard: Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
Mimi nadhani tuombe vijana wa Kenya waje wafanye TRAINING ya ujasiri kwa vijana wa TZ.,
 
Back
Top Bottom