MKuuu kutumikisha watoto ni kosa kisheria, ukibainika kuwapa watoto mayai, Karanga nk wakauze huo mkataba wa ajira ni batili maaana mtoto hana mamlaka kisheria kuingia mkataba.
Mind you fanya kimia kimia lkn kwa level ya JF tunakuchana kwamba wewe unapaswa kuwa Nyuma ya Nondo kwa Unyanyasaji na kutumikisha Watoto sio jambo jema.