Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Inawezekana kama ungekuwa na ofisi, hata hizo tano usingeuza; baadaye ilikuwaje?Nakumbuka nishafanya biashara ya nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa wa kuuza simu ndogo zile za batani ndani ya wiki moja nikauza simu 5 nikaona huu ufala,biashara bila ofisi maalumu ni utopolo kama utopolo mwingine