Vijana wakiweka aibu chini, wanaweza kufanikiwa

Vijana wakiweka aibu chini, wanaweza kufanikiwa

Nakumbuka nishafanya biashara ya nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa wa kuuza simu ndogo zile za batani ndani ya wiki moja nikauza simu 5 nikaona huu ufala,biashara bila ofisi maalumu ni utopolo kama utopolo mwingine
Inawezekana kama ungekuwa na ofisi, hata hizo tano usingeuza; baadaye ilikuwaje?
 
Vijana, tukiweka aibu chini na kuingia sokoni, lazima kipato cha kuendesha familia zetu kipatikane.

Kuna shughuli za kutembeza viatu, nyama choma, kahawa, karanga, nguo, vyombo, ice cream n.k

Na hizi shughuli, nguvu yako ni kuzunguka mtaa kwa mtaa; kama kijana ataamua kuweka aibu chini na kuingia sokoni, ataweza kujikimu kwa mahitaji yake.

Wangapi wanaweza kufanya hizo shughuli?​
[emoji3516]
MKUU,
USIPOWEKA KIPENGELE CHA KUBETI,
HUU UZI UNAKOSA MASHIKO KABISA.
 
Back
Top Bottom